Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Kuanzia sasa nakaa kimya siombi tena watu kuwafata pm maana naona nshachoka mwisho ntakuja kunyewa kichwani na maji sina.
 
rasilimali huwa na faida pale tu inapotumika ipasavyo!
 
Tatizo kizazi cha sasa kila mtu anataka aonekane anajua, yaani kila mtu ni mjuaji. Kizazi cha Teknohama hiki kina shida sana.

Bahati nzuri nimekutana na wenye akili kubwa tu humu especially my beloved wife, at least most of them wanajiheshimu, labda wachache tu, ila ukishamjua mtu hakusumbui unaachana nae tu.
 
Exactly kaka!
 
Pole sana shemela.
 
We learn through our mistakes, that's daily life principle of learning.

Hili kuna watu limewakuta, niwape pole lakini pia limekuwa funzo kwao na kwa wasomaji wengine wa jf..

I hope everyone will now play smart..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…