Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Nimetafakali sana baada ya kuona hujibu PM zangu, sijui na mimi nipo kundi hilo!!!!

Nambie tu ukweli nijue mapema
Hahahaaaa!!!hahahaaaa!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Halafu sijui anajisahau akishakutukana anakuwa hakumbuki yaani huwa simuelewi akiwa ananiquote
Jeuri tu huyu hana lolote!miye wala sjui kama hata nshawahi kumkosea yani watu humu kujifanya watakatifuuu!!!!
 
Mamaku tu hawa.kuna mmoja aliniudhi sana .ila wala sijaligi upuuzi as long hajawai kunitoomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…