Kuna watu wanaonaga kumjua mwanamke wa jf ni big deal sana.sisi ni watu wa kawaida tu.hata tukipigwa miti ni kawaida tu
Wenzio wanadanganywaga na avatar wanajua ndo sisi. Wakifika wanakuta vitu viwili TOFAUTI kabisa wanaishia kusonya [emoji23]Naweza kuwa mtu pekee ambae sijawahi fuata mdada yoyote pm. Naanzaje kwanza kumfuata mtu pm ambae sijui ata anaonekanikaje.
Mbebez katoka jf kabisa
Kwenye ubora wako[emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wacha nipige kaserengeti kagrmet kamoja hapa huku naangalia walimbwende wakipita nikitafakar hatima ya taifa teuleKuna watu wanaonaga kumjua mwanamke wa jf ni big deal sana.sisi ni watu wa kawaida tu.hata tukipigwa miti ni kawaida tu
Kwahiyo madam mi ndo PA wako eeh? Mscheeewww. Wakituma maneno ntakupa pesa ntabaki nazo mwenyeweLeo umeamka na mm eenh haya mambo yameanza lini ya kunisumbua sumbua nenda pm ya mzigua ipo wazi kamwandikie unachotaka kuniambia atanitumia screenshot
Ww kama ulimtumia mtu picha yako humu halaf akaivujisha jua ninayo [emoji23][emoji23][emoji15]
Kwahiyo madam mi ndo PA wako eeh? Mscheeewww. Wakituma maneno ntakupa pesa ntabaki nazo mwenyewe
Kasema hajibu pm tena pole
Atajibu tu, ni suala tu la muda
AhahaaWw kama ulimtumia mtu picha yako humu halaf akaivujisha jua ninayo [emoji23][emoji23][emoji15]
Wouzeeeerrrr[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]watu na watu wao
Message sent and delivered. Hata hao wanaoitwa mapugi kuna muda wanaenda kujaribu kupima uwezo wa simba akiona kina kirefu anaondoka kwa kinyongo kwanini kashindwa kumuwinda simba.Jamii Forums ni kama msitu mnene wenye kila aina ya wanyama!
Humu ndani kuna watu wako very intelligent, humble, charming and caring.
Pia kuna watu wajinga kwa kiwango cha standard gauge, wanafki, mapoyoyo na wasiojielewa kabisa.
Kwa kifupi tu, JF ni kama hotel menu, you get served what you asked for!
Ukiwa mtu wa hovyo hovyo lazima ufuatwe na watu wa hovyo hovyo. Na ukiwa smart, lazima utajihusisha na watu smart. Ni rahisi sana kumfahamu mtu mpuuzi.
Njia pekee ya kuwaweka wapuuzi mbali ni kumaintain standards zako. Hakikisha kila unachoandika kinatoka kwenye akili ya mtu anaejielewa.
Sasa mtu anaanzisha thread eti njia za kuchepuka bila kukamatwa, unafikiri ni watu wa aina gani watakaotembelea PM yake mara kwa mara?
Acha niwambie kitu dada zangu, hawa mnaowaita MaPUGI hua wanajua aina ya watu wa kuwafuatilia wanaofanana na uPUGI wao. Chui hawezi kumuwinda simba wakati anajua uwezo wake unaishia kwa swala na nyumbu!
So here is a hint, keep higher standards and be classy!
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]