Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Haaa!jamani ndo maana sitoi namba zangu kirahisi naogopa Mimi!sura lenyewa baya hiviiii![emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19] [emoji19]jamanii
Yy anajisikia raha huko kunisambazia picha yangu niliyofanana na na baba angu akikaa na watu wake huko anawaonyesha we kaka endelea salaam zako nazidi kupata utafurahi
 
Kaka angu huo mstari wa kwanza umemaliza na anapenda sana kila mwana jf amjue yaani ndio zake hizo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]usikubali kukutwa na bwana peps hata siku moja!!yaani nilivyo na shepu baya kama kabati mwenzenu acha niendeleee kukaa kimya nisiwajibu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
huu uzi naona umesema wa kichit-chat lakini mapovu ya ukweli naona ban zitahusika hapa na hivi bana inavyopatikana kwa bei rahisi, nikutakie na wewe ban njema
 
Daaaah pole sana Shuniie..
Kwakweli bora niwe na mawasiliano na wanaume tu wa JF. Sasa anapata faida gani???
Kuonekana anatajua sana hyo ndo faida yake!
Maana mpk watu wanajuta ujue kifahamiana na watu humu Mimi bwana hapana I'm scared!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…