Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nakojoaaaaaaaaaaaaaa na vile nguo ndefu sio mpenzi
Gauni yako yenyewe sasa!![emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mfyuuuuu
Safi sana mmestuka kuwa wanaojifanya innocent wengi ni matapeli na wanazuga ni wakarimu ili muwaamini kirahisi
Antonio bwanaaa!!hahahaaaa!shunie anajuta kuwajua
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] naona akili zimejanjaruka sasa maana sisi tusio na miandiko mizuri na ushauri mzuri kashapiga kufuli la mjerumani hatutaki
Taratibu tu dawa inaingia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na funguo katupa katikati ya baharii!!ishakula kwenu!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ngoja apambane na mapugi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mapugi yanamkomeshaa!!
 
Hili povu liwafikie all pugies behind keyboards
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…