Hashindwi, yani yupo zaidi ya mwanamke wa kzrm ila jukwaani anaact kiume ila ni huuuuma (in maasai voice).
ukisema this December utaenda vacay somewhere anaanza kusambaza umbea sasa ile vacay ya shunie alinikopa mimi hela ha ha ha ha mzee wa mbuzi we ni kiboko
Mkuu huyo Ushimen simjui zaidi ya kumwona hapa JF akiwa mdomo wazi na mapengo yake![emoji12]duuh sikuwa najua kama kuna watu wanajuana nje ya jf zaidi ya
demiss na mshana
mahondwa na smart
pamoja na ushimen na thad
Fungua pm nije. SeriousAnko jamani kipi kibaya nimeandika mm
Who is....????Mzee wa mbuzi ni huyuhuyu jukwaani huwezi mdhania unamuona kaka wa heshima si ndio huyu
Huyo huyo jukwaani anaact wise man ila sio wise yani hata ukimtxt mambo, ujue hiyo salamu itaonwa na watu wengi screenshot.Mzee wa mbuzi ni huyuhuyu jukwaani huwezi mdhania unamuona kaka wa heshima si ndio huyu
Fungua pm nije. Serious
Waweza sema hvo. But the way sio kwa nia mbaya.Umerogwaaa au huu mwezi mchanga
Huyo huyo jukwaani anaact wise man ila sio wise yani hata ukimtxt mambo, ujue hiyo salamu itaonwa na watu wengi screenshot
Waweza sema hvo. But the way sio kwa nia mbaya.
Mzee wa mbuzi au bwana pepsiWho is....????
Umeniacha kwa mataa. Weka hata kifupi cha jina lakeMzee wa mbuzi au bwana pepsi
Leo sikuachiiMondray ebu niache mie
HAHAHA MI NILIDHANI MNAJUANAπππMkuu huyo Ushimen simjui zaidi ya kumwona hapa JF akiwa mdomo wazi na mapengo yake![emoji12]
Nakutmie muda si mrefu mana ile namba yako nyingne haipatikanNitumie nauli mkuu nije jamani
Hapana mkuu, hapa JF najijua mwenyewe tu!HAHAHA MI NILIDHANI MNAJUANAπππ
Aisee! Kumbe JF ni zaidi ya niijuavyo[emoji848][emoji848][emoji848]Uwiiiiiii Eve mulemule mm bwana kuna siku nipo mmu nachat na mtu namwambia mm kipotabo akatokea mdada shunie nakujua ww wala haupo hivyo ww ni bonge nikamuuliza unanijua unajuaje we jua tu nakujua picha yako ninayo woiiiii si ndio kuna kumuona yupo karibu na mzee wa mbuzi nikasema huyu bwana pepsi kaniuza na sio huyo mdada wapo wengine wawili
Wacha niuchukue huu ushauri, 'for future use'Kutuma, kusambaza picha au mambo ya PM ni ujinga kwa anafanya hivyo kuliko mhusika mwenye picha au anaesemwa.
Nilichojifunza, umakini kwenye kuamua picha ipi iwe DP.
KITU KIZURIHapana mkuu, hapa JF najijua mwenyewe tu!
Nakutmie muda si mrefu mana ile namba yako nyingne haipatikan
Nitumie ile nyingne ya halotel nikutumieSawa mm niko nagonjeka