Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Nafurahi kwa mara ya kwanza napata notification zako hizo ban acha wanipe tu hawajisikii raha kabisa bila kunipa

Shikamoo jamani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shunie
 
Na huyo ni mwanaume anayefanya huo ujinga tena jukwaani huku anajifanya ana heshima zake anachotaka kuonekana kila mtu jf anamjua yy
Daaaah pole sana Shuniie..
Kwakweli bora niwe na mawasiliano na wanaume tu wa JF. Sasa anapata faida gani???
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]usikubali kukutwa na bwana peps hata siku moja!!yaani nilivyo na shepu baya kama kabati mwenzenu acha niendeleee kukaa kimya nisiwajibu!
Bwana Pepsi sio mzuri kabisa salaam zako tunazo
 
Yy anajisikia raha huko kunisambazia picha yangu niliyofanana na na baba angu akikaa na watu wake huko anawaonyesha we kaka endelea salaam zako nazidi kupata utafurahi
[emoji23] [emoji23] atafurahi etii!naniii...p....!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…