Abeeeh dada[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] shunie
HahahhahahaHapana
Pole sana niambiE ni nan ? Anayekufanyia umafia dada yangu
Poleni sana dadaa.
Ila nanyie kuna dada mmoja humu ni msee sana I reserve my comment.
But nishasamehe & life is going on..
Baba swalehe negative a half package full of bresteringIla pia humu kuna wanaume full package,wa maana hasa shida tu ipo kwenye kuwajua,ila ukituliza kichwa rahisi sana kuwajua
Hahaha manina walahi
Ukimtaja wako nami nutamtaja.Mtajeeee
Atafurahi bwana Pepsi mwenye akili za kipugi nitamfurahisha na msura wake[emoji23] [emoji23] atafurahi etii!naniii...p....!!!
Sasa kama kila mtu kafunga pm na hajibu pm,hawa mabazazi watatafuna mahindi mwaka huu?
Tuwahurumie basi
Naikumbuka hvi alikua shunie au Ray?UnakumbukA pichA ya yule demu nliyokurushia ?