Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Bora nimeifunga tu maana vimtu vingine vinakuja ni vitoto,wengine kama hivyo mnaanza kuwasiliana baadae unajua ni mapugi ,wengine utani wanaugeuza ukweli lo, hao wanasambaza pic wala msiwajali kwani mmeua ,jf siogopi mtu yeyote najiamini nilivyo anaeona mi wa ajabu yupo anaeniona wa maana na ni mzuri kwake , maana kuna watu wabaya kuzidi hata mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kingine nishapata mpenzi anaenipenda nampenda wala sihitaji pm
Haaaa..binamu bwanaa!hao wengine wapite Vivi
 
Ndiyo maana navumilia.
Kuna watu walikutana kwenye group moja wakapost picha zangu 3 tofauti. Yaani watu wa 3 tofauti.
Basi mtu anayenijua mle akanitumia nilicheka sana.
Duh![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] hatari hii watu wabaya ili iweje sasa!!
 
Falacy of generalization
Hayo yoteculoyasema ni kwa upande wako. Kwa hiyo usidhani sababu zinazokufanya ww ufunge pm yako ndo hizo hizo zinazowafanya wengine wafunge pm zao.
Mimi sijafunga pm na wala sitafunga inshort sio Mimi niliyefanyiwa hayo Mimi nnaemjua anajitambua mnoo hana shida na ananielewaa sana tu!

Wapuuzi km hao hawana nafasi!!hata kidogo!
 
Back
Top Bottom