Leloo June
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 1,001
- 933
Wenzio wanadanganywaga na avatar wanajua ndo sisi. Wakifika wanakuta vitu viwili TOFAUTI kabisa wanaishia kusonya [emoji23]
A a a a ahaaaaa watu wanajua kuassume sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzio wanadanganywaga na avatar wanajua ndo sisi. Wakifika wanakuta vitu viwili TOFAUTI kabisa wanaishia kusonya [emoji23]
Nimepita kipenzi.
[emoji3][emoji3][emoji3]
Kibaya zaidi, ushavuta hisia zako sauti na sura take unamfananisha na MTU wa mbele hukoWenzio wanadanganywaga na avatar wanajua ndo sisi. Wakifika wanakuta vitu viwili TOFAUTI kabisa wanaishia kusonya [emoji23]
Mtu kutoa mawazo yake ni akili ya hovyo mkuu? Wote tungekua smart darasani kusingekua na wa mwisho. Hata saa mbovu kuna muda inasoma sahihi. Usimdharau mtu kwa jambo unaloona kwako halikuhusu. Kwa akili ya Mtoa mada hawezi kutoa kitu kwa kutunga tu au kujisikia lazima anajua kuna kitu kama hicho kipo na kimemkuta kama sio yeye mtu wa karibu. Tujifunze kuheshimu mawazo ya mwingine hata kama tunapingana nayo.Mkuu ulipaswa kuwa tag hawa dada zetu wenye tabia za hovyo!!
Mtu muda wote ni kuandika upuuzi unaategemea PM zake zitakuwa na watu watu wa maana?
Mleta mada na wahuni wenzie huwezi ona mada walizo changia zina mantiki, zaidi ya upupu.
Binafsi amejidhihirisha jinsi alivyoo!!!
Ukiwa na stress zako ingia jf dawa tosha kabisa. Ahsantee mello kwa jukwaaa hili mhudumu ongeza kama tulivyo mwite wa jikon kilo tatu mbuzi katoliki plipili usisahau na kachumbar ya matango. Karibu wadau[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] looh!we hata kuandika huandikii!!kazi kulike tu
Nimepita kipenzi.
Nimekumisimo[emoji8] [emoji8] [emoji8]
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Ninazo picha za mtu kapiga akiwa kwao mahenge kavaa gagulo refu zaidi ya sketi ila anavyotuponda humu kama sio yeye...[emoji23][emoji23][emoji23]
Wamehama mazimaaa
Zipi hizo?Zile picha zako nilisave pia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaniii!!!tunakoma mbonaaa!!kuibiwa dp[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe kwa mdomo wako ungekuwa na picha yangu ungeshaongea mm sijamtumia mtu picha huyo pugi alikuwa anaiba kwa dp WhatsApp we kaka ulaaniwe mfyuu zako unajifanya wa heshima dada sijui nini dada
Agiza unachotumia hapo hapo ulipo alfu huyo aliekaa pembeni hapo mwambie aachie siti hyo imelipiwa[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mkuu muhudumu asinisahau na mm
Ukifanya siku kitu nikavuta nitakujia usijaliNifuate na mimi mrembo, hata kwa salam tu.
Nirushie nauli nije jamaniUkiwa na stress zako ingia jf dawa tosha kabisa. Ahsantee mello kwa jukwaaa hili mhudumu ongeza kama tulivyo mwite wa jikon kilo tatu mbuzi katoliki plipili usisahau na kachumbar ya matango. Karibu wadau[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]