Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Nakazia wakunyumba bora upate mtu jukwaani mbea muelewane kuliko anayejifanya anaheshima yaani we kaka sijakudhania kabisa hivi ulikuwa unaiba picha zangu kwa dp unazisave mm ni mkeo haya unaowaonyesha huyu ndio shunie wanarudi wananiambia mfyuuuu jitu kubwa kama mtoto
Ninachoomba tujifunze kama binadamu kufilter nini cha kuongea na wapi. Kwa mfano mmetoka na mtu humu iwe dinner au club au wapi yanayotendeka yaishie humo. Sio jambo baya hata kujuana na member wote humu ila ukionana nao yaishie huko mlichoongea mlichofanya au chochote kile. Kubeba kitu ukakirudisha kwa mtu ambae mlimuongelea sio fresh ni kaunafki fulani.

Kuna watu wanaandika vizuri sana kwenye majukwaa ila hawana siri kwa wanaokutana nao nje ya jukwaa. Hata kama mmekutana kituoni atamtafuta member mwingine huku amwambie jana nilikua na mzigua kituoni morocco ikawa hiki ikawa kile. Hiyo sio poa maana hao wanaoambiwa nao wanarudisha tena. Watu wazima sisi tutendee haki miaka yetu kwa vitendo kwenye majukwaa pm na mtaani ikitokea. Mnatuaminisha na miandiko ya adabu mtu unajua amepata rafiki kumbe mtu mmbea bwana
 
Kwanza inahusu nn mmekutana halafu mmoja anatoka anayatangaza ijulikane ameonana na watu wa jf ushamba mzigo
Umeongea vzr sanaa sana!haihusu Mimi na wewe kujuana au kuonana ukaanza kumhadithia Don au shunie!!!

Na mkikutana hata km mmemsema mtu yaishie humo haina haja ya kuanza kumtafuta na kumuambia kua tulikusema!

Tuitendee haki miaka yetuuu!!!hapa nimepaelewa sana!
Mtu mzima akili kisodaaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe kwa mdomo wako ungekuwa na picha yangu ungeshaongea mm sijamtumia mtu picha huyo pugi alikuwa anaiba kwa dp WhatsApp we kaka ulaaniwe mfyuu zako unajifanya wa heshima dada sijui nini dada

Ww ndio picha zako 3 ninazo siku nyingi hata kabla mwendokasi haijaanza
 
Nimesoma comment moja moja bila shaka mlengwa mkuu yupo [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] .
Nilitegemea ningeona comment yake kumbe kajua kujikausha kizazi[emoji28] [emoji28] [emoji28] .
Wewe mwanaume unakuwa smart kumbe booooonge la snitch.[emoji107] [emoji107] [emoji107] [emoji107]
 
Jambo la msingi sana umeongea
Lakini pia kukaa sana kijiweni matokeo yake unaanza kukosana na washkaji. Hiki kimeshakuwa kijiwe, kadri unavyotumia mda wako mwingi humu unakutana na watu wa kila namna.

Tumia akili yako kuishi nao, spend your time wisely.
 
Back
Top Bottom