Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Wanaume wa JamiiForums nawajibu kwa nini tunawafungia PM na wengine hatuwajibu

Uwiiiiiii Eve mulemule mm bwana kuna siku nipo mmu nachat na mtu namwambia mm kipotabo akatokea mdada shunie nakujua ww wala haupo hivyo ww ni bonge nikamuuliza unanijua unajuaje we jua tu nakujua picha yako ninayo woiiiii si ndio kuja kumuona yupo karibu na mzee wa mbuzi nikasema huyu bwana pepsi kaniuza na sio huyo mdada wapo wengine wawili
mi nmesikia mpya tena kwamba Evelyn Salt kagombana na N kisa mimi, nimetuma mzigo kutoka nje ya nchi ambao Evelyn aliomba, ila N kaupokea kaufungua so wamegombana.....sijui alituma mzigo wa pmbu zake
 
Mzee wa mbuzi ana tabia zote tajwa I wish hata watu wamjue the real him, wajue his true color akija pm fukuza kama mbwa mwizi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uko vzr evelyne!mzee wa mbuzi!hahaq
 
Hashindwi, yani yupo zaidi ya mwanamke wa kzrm ila jukwaani anaact kiume ila ni huuuuma (in maasai voice).
ukisema this December utaenda vacay somewhere anaanza kusambaza umbea sasa ile vacay ya shunie alinikopa mimi hela ha ha ha ha mzee wa mbuzi we ni kiboko
Hahaaaa eti ni huuuuuma
 
Hashindwi, yani yupo zaidi ya mwanamke wa kzrm ila jukwaani anaact kiume ila ni huuuuma (in maasai voice).
ukisema this December utaenda vacay somewhere anaanza kusambaza umbea sasa ile vacay ya shunie alinikopa mimi hela ha ha ha ha mzee wa mbuzi we ni kiboko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji121] [emoji121] [emoji121] hatariiii
 
Huyo huyo jukwaani anaact wise man ila sio wise yani hata ukimtxt mambo, ujue hiyo salamu itaonwa na watu wengi screenshot.
anajifanya anapenda interaction ila trust sio interaction ya ukweli anatafuta umbea
Ahsante Evelyn unamjua vzr sana huyu!
 
Back
Top Bottom