Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Umeshindwa kutafuta hela..halaf unaandika ishu ya lissu kwenye rubbish kama hii.????

Jitambue dogo acha kiki za kitoto
 
Wengi wenu hamjui kutongoza. Yaani mtu anakuja pm anaongea upuuzi na kulazimisha mahusiano. Hatuendi hivyoo
Hahahaaaaa!!
Waliambiwa wajifunze kutongoza.
 
Weeeee Daby wewe acha uongo Mungu anakuona ujuee....sijawahi ona hata pm yako ya salamu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Basi leo nitakuja..

Niandalie mazingira mazuri nisihangaike saana maana nimezeeka nimeishiwa swagga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…