Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Teh
Mbona unapenda kunidekea hivyo lakini au raha yako uone espy na wenzake wanavyoona wivu navyokubembeleza?
Yaani ubembeleze wewe wivu nione mimi!!! [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Alafu madem wa JF muwe na misimamo... Yaani hela mnataka lakini kutongozwa hamtaki.
na tukiwaomba namba ya simu ili tuwatumie hizo hela mnazozitaka pia hamtupi... sasa tuwaeleweje?
Hebu kuweni na msimamo...
Ha,haaaa.......na hata mkitoa namba zenu pia hamtafutwi jf raha
 
Katika uwiano wa kutongoza na kufanikiwa kwa utalaam binasfi, nimefanikiwa kwa asilimia 99%, YANI NAMAANISHA, KWA MFANO NIMETONGOZA 10, 2 WALINIBOA, 8 NILIWAPATA, 2 HAWAKUWA CHAGUA LANGU, NIMEWALA 6.
Ni hapa hapa jf au??
 
Ni muda muafaka wanawake wa jf kuanza kutongoza wanaume humu, ondoen uwoga hyo ndo haki sawa sasa
 
Maneno kuntu haya,haya we naniliu na naniliu fungueni pm zenu walume tukuje kumwaga sera
 
Ni muda muafaka wanawake wa jf kuanza kutongoza wanaume humu, ondoen uwoga hyo ndo haki sawa sasa
Hahahahhaa hakika ngoja tufanye mazoez

Jesus is my saviour and a friend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…