Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Wakongwe wa humu chit-chat wapo wapi? Hao ndio hawakuwahi kukwepesha Maneno
 
Sithubutu, ana vitu adimu si unajua alikotokea? Ndo maana hata akitongoza najifanya sijaona ili nisije lleta ugomvi bure niachwe na mm siko tayari

Jesus is my saviour and a friend
Sasa hivo vitu adimu hutaki namie nipate?

Hebu hiyo roho ya uchoyo na iyeyukie mbali,kizuri kula namie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi Wale wa mama wakufichana ndani , Unakua na KAZI mbili tu,,
1.KULA
2.KUMSINDIKA DUSHE!!
Wameenda Wapi? J. K turudishie bhana!!!

[HASHTAG]#your[/HASHTAG] prayers are very Asked!!!! for [HASHTAG]#TUNDULISU[/HASHTAG]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnakuwa mnajua kbsa kuwa tunawataka sasa kwann
Huwa mnaleta mashauzi?
Ukiona mtu amekupenda mtunuku tu tunda

Mm ndyo maana vitoto vya mapenzi ya baby baby huwa siwezani navyo.
Unakuwa umetongozwa na wanaume 20. Ina maana wote wanakuwa wamenipenda? Naanzaje kuwakubali wote hao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…