[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo mnatutongoza na kufikiria kuwa sie ni wazuri wakati kiuhalisia ni wa kawaida tu,,kimbembe tunapokuja kuonana na unakuta chura haipo,sura kama ya magu ,miguu kama muwa ndipo mnakuja kututangaza humu kuwa tuna matiti kama matikiti ya morogoro
Mi ni hayo tu
Utachambwa kila rangi utaona,ila kuna wachache wana hekima lakin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila humu kunaogopesha sana sanaUtachambwa kila rangi utaona,ila kuna wachache wana hekima lakin
Cha ajabu hata wanaume nao wamekupa LIKE.... LABDA KAMA NI WANAWAKE WANAOTUMIA MAJINA YA KIUME..!!!Dada anayetaka kutongozwa namimi muda huu, tena hapa hapa hadharani,Gonga like hapa nilianzishe
Halaf sasa wanavyokosoa wao ukiwaona utacheka pia[emoji23][emoji23][emoji23]Ila humu kunaogopesha sana sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halaf sasa wanavyokosoa wao ukiwaona utacheka pia[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna baba mmoja alienda na rafiki zake kununua malaya wakalale nao ,huyo baba akawa anachagua wale makahaba mmoja wao akamuambia nawe unachagua nini na ulivyo mbaya hebu twende huko[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaaa!!!Tatizo mnatutongoza na kufikiria kuwa sie ni wazuri wakati kiuhalisia ni wa kawaida tu,,kimbembe tunapokuja kuonana na unakuta chura haipo,sura kama ya magu ,miguu kama muwa ndipo mnakuja kututangaza humu kuwa tuna matiti kama matikiti ya morogoro
Mi ni hayo tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Halaf sasa wanavyokosoa wao ukiwaona utacheka pia[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna baba mmoja alienda na rafiki zake kununua malaya wakalale nao ,huyo baba akawa anachagua wale makahaba mmoja wao akamuambia nawe unachagua nini na ulivyo mbaya hebu twende huko[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Halaf sasa wanavyokosoa wao ukiwaona utacheka pia[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna baba mmoja alienda na rafiki zake kununua malaya wakalale nao ,huyo baba akawa anachagua wale makahaba mmoja wao akamuambia nawe unachagua nini na ulivyo mbaya hebu twende huko[emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo hata mkikaribishwa huko pm na mkibahatika kukubaliwa mnakuja na nyuzi humu mara oooh! Wanawake wenyewe hawajielewi,mara wanasura kama mbuzi[emoji23][emoji23][emoji23]
Bora mjibiwe hivyohivyo tu
Hicho kitu huwa kinanichekesha kweli yaani, mtu unakuta kajoin siku hiyo hiyo au jana yake na anakuja kwa kujiamini kweli!! Unawaza tu huyu ni Bonny kwa new id.
Mambo?
Vipi?
Mzima wewe?
Mambo yanakwendaje?
Uko poa lakini?
Niambie(hii ndio inakera kuliko maelezo)
Vipi huko?
Yaani kila ukijibu inakuja salamu nyingine utafikiri kipindi cha kutumiana salamu RTD!!!!
Wewe ni chizi [emoji1] [emoji1]Halaf sasa wanavyokosoa wao ukiwaona utacheka pia[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna baba mmoja alienda na rafiki zake kununua malaya wakalale nao ,huyo baba akawa anachagua wale makahaba mmoja wao akamuambia nawe unachagua nini na ulivyo mbaya hebu twende huko[emoji23][emoji23][emoji23]
UpoKhaa hivi huu uzi kumbe kaanzisha Daby ....hebu kuja hapa uniambie umetongoza wangapi? Na huyo aliyekwambia hayo ni id yangu nyingine hiyo we ingia kichwa kichwa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo miee niende wapi na hizi mvi?
Ila hapa umewaeleza ukweli nadhani sasa watatuelewa maana umetoa rukhsa kuwaomba nawao watuelewe japo cyo kuwachezea lakini.Wanatunanga saana aiseeh...