Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Wewe km unaupungufu wa nguvu wenzio acha tutafute pakuzipunguzia..
 
Kwa hiyo zile interview wote hata mmoja haujatongoza?
Yan bro kama ningekuwa spana mkononi nadhani ningekua naongoza humu kwa madosho wengi Na visu
Sema sitaki
Pm yangu imefurika

DJ sepetu
 
Hahaaaa. Aiseee. [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Emmy huyu hapa hawezi kukukimbia naamini atakusikiliza vizuri na tutegemee mazuri.
emmyta jamani ndio umeondoka kweli wakati nimekwambia usiondoke?? au kuna mwenye mali yupo hapa unamuogopa??? au nije chemba??

Daby eeh nisaidie kumuita mtoto mzuri emmyta aje basi ndugu yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…