Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Wanaume wa JF hamcheleweshi, mnatongoza hovyo kila mnayemwona!

Dada zetu tunashida wote humu ndani, tunataniana humu ndani sasa tusipowatongoza nyie tutamtongoza nani? Mnataka tushinde humu ila tutongoze FB na badoo? Nyie mtatongozwa na nani sasa si vizuri hivyo bwana, Mtukubalie.

Tunawapenda saana ndiyo maana. Mtu akikutongoza jua kakupenda eti na unapaswa kumkaribisha PM kwa mbwembwe zote.

Mnataka tuwape nini sisi zaidi ya mitongozo iliyotukuka(Gentamcyne)?na wewe uliyenambia haya walai sikuachi nitakuja na ID mpya tu.

"Wanaume wa JF ndivyo mlivyo" sio hivyo sisi tunajua kuwapenda ni woga wenu tu. Nyie tuacheni tuplay role yetu ya kuwa Seduce maana tushakuwa vipusa.

Tuzidi kumwombea Lisu.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] napita tu.
 
Mkituona mnatukimbia na kuja kutuanzishia nyuzi humu jinsi tulivyofanana na babu zao bibi zetu!!
Hapana siyo mimi mkuu, nikibahatika kuonana na mwanaJF mwenzangu tena jinsia tofauti na yangu hiyo itabaki kuwa siri yetu wawili tuu
 
Tuma kwanza mpesa bwana ndio hata chatings zinanoga, sasa msg 6 zote salamu!! You cant be serious.
[emoji3][emoji3][emoji3]
Hello, mambo nimeona comments zako jukwaani nimekupenda.

U mzima Mrembo? [emoji3][emoji3]
 
Ha ha ha ha mie nakuja na ID yangu hv hv nikujie na ID mpya ili untoe kwenye reli mapemaa
Hamjuagi tu, ukija na id yako ilozoeleka hata inampa mtu nguvu angalau ya kukujibu. Hizo zingine unasoma tu unazifuta au unaendelea na mambo yako mengine.
 
Back
Top Bottom