Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
miminimkulimaakachekasana
Shida ilianzia hapa, Madem wa JF wote mnajitia wazuri kumbe hamna kitu.
Wote mnajitia mnakazi nzuri, biashara, kumbe hamna kitu
Wote mnajitia mnanyumba /mmepanga Apartment ..kumbe Hamna kitu.
Sasa ,kikawaida, Ukitaka kumfanya Malikia Akupende. Inabidi uishi kifalme .
Ndio sababu, Wanaume pia wameamua kuwaishi ivo sababu, mnapenda mapicha mapicha.
Na niseme tu ukweli huu....WENGI HUMU MMEGONGWA PASIPO HATA KUTARAJIA KAMA UNGEGONGWA NA MUHUNI ASOKUA NAKITU ISIPOKUA ULIPENDA MAPICHA MAPICHA YAKAKUINGIZA MJINI.
Mwisho mmeishia
[emoji117]Kubadili ID
[emoji117]kupunguza kasi ya uchangiaji
[emoji117]kuwachukia watu bila sababu
[emoji117]msobadili ID ,mmejikuta mnachat humu lkn Uku unajistukia stukia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
VUMILIENI.....NA MTAENDELEA KUGONGWA TU .
Shida ilianzia hapa, Madem wa JF wote mnajitia wazuri kumbe hamna kitu.
Wote mnajitia mnakazi nzuri, biashara, kumbe hamna kitu
Wote mnajitia mnanyumba /mmepanga Apartment ..kumbe Hamna kitu.
Sasa ,kikawaida, Ukitaka kumfanya Malikia Akupende. Inabidi uishi kifalme .
Ndio sababu, Wanaume pia wameamua kuwaishi ivo sababu, mnapenda mapicha mapicha.
Na niseme tu ukweli huu....WENGI HUMU MMEGONGWA PASIPO HATA KUTARAJIA KAMA UNGEGONGWA NA MUHUNI ASOKUA NAKITU ISIPOKUA ULIPENDA MAPICHA MAPICHA YAKAKUINGIZA MJINI.
Mwisho mmeishia
[emoji117]Kubadili ID
[emoji117]kupunguza kasi ya uchangiaji
[emoji117]kuwachukia watu bila sababu
[emoji117]msobadili ID ,mmejikuta mnachat humu lkn Uku unajistukia stukia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
VUMILIENI.....NA MTAENDELEA KUGONGWA TU .