Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Hahahah umenikumbusha mbalii...Ila kimsingi ukweli haujawahi fanikiwa kukonga nyoyo za msichana. Wanaoukubali ukweli ni 1 ina million girls. Ukishaanza kujiliza liza tu meseji hazijibiwi tena. Session closed!
Sindo hapo sasa. Wanafunga vioo kabisa. Mi ukweli namwambia Mungu tu
 
Kwani mtu anakudhalishaje?

Mie sijafanya mkuu, yani nijiunge kufatilia mtu Ili Iweje, mimi napenda marafiki Ila kwa tabia za humu Kuja kuzalilisha mara sura, mtu hana kitu huoni huo ni ujinga.
 
Kwahiyo inabidi nikija nije kimasikini masikini?

Hivi mtu anakuambia ana gari bila hata kumwuliza?
Hahaaaaa wewe mimi mjanja mno naweza ku kusikiliza nakuchora tu, sasa mimi uongo sijui wa gari I don't buy it, sijui nini tena ukija hivo naku shit mapema
 
Kuna rafiki yangu Mmoja kipindi anasoma IFM Mwaka wa kwanza aliwahi opoa Mtoto mkali Sana IFM nzima alikuwa huyo manzi ndo anakaribia kumaliza chuo.
Ishu ilikuwaje ..jamaa alimdanganya manzi kuwa yeye anafanya kazi wizara YA fedha hapo wanaongea kwenye simu.akampanga Demu kuwa atampa ajira wizara YA fedha.basi bwana siku YA Kuonana manzi akapigiwa simu aende wizarani.kufika mshenzi akashuka kutoka ghorofani akapokea vyeti na cv za Demu.then akampa 50,000 Demu aende akale lunch mengine watawasiliana kwenye simu..jamaa alikaaa na cv YA Demu week. AkamuitA alimla three times.. Then akaambiwa asubiri kuitwa Kazin...ndo ikawa nitolee..bila uongo papuch haziendi sema ukiamua kudanganya ongea uongo ambao ni Sawa na ukweli kama wa dude.
Huyu jamaa kiboko ya uchafu...nilikuwa na uncle wangu mmoja ndio zilikuwa zake hizo yani Dude akasome upya. Amewala sana wamama na wadada wenye pesa ndefu hapo mjini kwa mbinu hizo hizo. Big Steve, mapapaa wote kina msofe, Said Jenguo ndio walikuwa washkaji zake early 2000's maana yeye alikuwa mjanja na ana muonekano wa pesa akikwambia ni mfanyabiashara mkubwa ama mkurugenzi wa wizara flani huchomoki maana vyombo alivyotupia ni hatari. Wanawake walikuwa wanawaka nae sana yani kupiga hizo million 3-5 ilikuwa kawaida kila weekend ni bata na shopping na hali mama za ovyo ni ye anagonga zile kali sana na zenye pesa ndefu! Gari anazotembelea sasa huulizi mara mbili ukiingiamo tu umekubali bila masharti maana jamaa li handsome kweli na lina sound!
 
Hahahah umenikumbusha mbalii...Ila kimsingi ukweli haujawahi fanikiwa kukonga nyoyo za msichana. Wanaoukubali ukweli ni 1 ina million girls. Ukishaanza kujiliza liza tu meseji hazijibiwi tena.

Tatizo kubwa ni kupenda kuambiwa kile wanachotaka kusikia, lakini kiujumla wake sisi watu weusi wengi ni waongo waongo na unafiki mwingi
Nafikiri ni nature Tu
 
Ofcoz wazur wapo , ila hii tendency ya kila mdau wakike JF kujitia bonge la kisuuuuuu , mwingine unakuta anajilinganisha na akina Zari ...aaaahhhhh wabadilike nawao.


Nachoweza sema nihiki.... Ktk asilimia 100% humu JF ni asilimia 1% tu ndio madem visu,, nahawa madem visu ID zao sio maarufu sana, hawaongei sanaaa. .

Ila hawa wanaojinasabisha humu kutwa nzima kua ni Wazuri , ayayayayayya NI WABOVU KUPINDUKIA .


Wee mtu Sura anakoswa ..hata Umbo anakoswa.. Basi hata Makalio KAKOSWA ..basi hata miguu ilojaa , KAKOSWA ...


Basi angalau awe kibonge bonge na minofu ..ILO NALO HAMNA.

Unakuta mtu ni Mwembambaaaaaaa daaaahh!!!


Niiv sijawah kutana namtu humu
Hujawai kukutana Na mtu sasa umejuaje sio visu?
 
Ofcoz wazur wapo , ila hii tendency ya kila mdau wakike JF kujitia bonge la kisuuuuuu , mwingine unakuta anajilinganisha na akina Zari ...aaaahhhhh wabadilike nawao.


Nachoweza sema nihiki.... Ktk asilimia 100% humu JF ni asilimia 1% tu ndio madem visu,, nahawa madem visu ID zao sio maarufu sana, hawaongei sanaaa. .

Ila hawa wanaojinasabisha humu kutwa nzima kua ni Wazuri , ayayayayayya NI WABOVU KUPINDUKIA .


Wee mtu Sura anakoswa ..hata Umbo anakoswa.. Basi hata Makalio KAKOSWA ..basi hata miguu ilojaa , KAKOSWA ...


Basi angalau awe kibonge bonge na minofu ..ILO NALO HAMNA.

Unakuta mtu ni Mwembambaaaaaaa daaaahh!!!


Niiv sijawah kutana namtu humu
Nakupata vyema mzee baba.
 
Kuna sehemu ukienda unakutana na watu wa aina flani hapo hapo wa changamkia fursa
Sehemu gani nizijue kama hautojali.

Vijana unamaanisha kuanzia umri gani hadi umri gani?
 
Huyu jamaa kiboko ya uchafu...nilikuwa na uncle wangu mmoja ndio zilikuwa zake hizo yani Dude akasome upya. Amewala sana wamama na wadada wenye pesa ndefu hapo mjini kwa mbinu hizo hizo. Big Steve, mapapaa wote kina msofe, Said Jenguo ndio walikuwa washkaji zake early 2000's maana yeye alikuwa mjanja na ana muonekano wa pesa akikwambia ni mfanyabiashara mkubwa ama mkurugenzi wa wizara flani huchomoki maana vyombo alivyotupia ni hatari. Wanawake walikuwa wanawaka nae sana yani kupiga hizo million 3-5 ilikuwa kawaida kila weekend ni bata na shopping na hali mama za ovyo ni ye anagonga zile kali sana na zenye pesa ndefu! Gari anazotembelea sasa huulizi mara mbili ukiingiamo tu umekubali bila masharti maana jamaa li handsome kweli na lina sound!
Exactly jamaa anawaita vikongwe...akimtengenezea mazingira Demu hachomoki na akifeli ni ASILIMIA Chache Sana.anasema ameingia kwenye mdomo WA mamba.ana visa KIBAO sema kuandika hapa ndo tatizo...siku hiyo anameet na Demu alivaa kitambulisho fake akakigeuza vile vya shingoni...
 
Kuna sehemu ukienda unakutana na watu wa aina flani hapo hapo wa changamkia fursa
Lakini kwanini unakuwa na mawazo ya hivyo?

Kwamba lazima uende sehemu fulani watu wakupe fursa?

Kwanini wewe usiwe ndiye mtoa fursa.

Natamani kujua hili kwa undani.
 
Back
Top Bottom