Yule ni samjo aliwahi jifanya rubani akabadili na lafudhi akawa anaongea lafudhi ya ntu asiye mtz..ili Ang'oe manzi..uongo wake ni Sawa na ukweli. Ana visa KIBAO VYA kuwapanga wanawake...mimi nikikumbuka mishe nakuwa nacheka tuu...Hahah huyo jamaa ningekuwa nae karibu ningekuwa nacheka sana maana wana story sana wazee wa kabobo!
Ukiona unakuwa na mwanamke na haujamtongoza ujue hajakuvutia...wala sio udomo zege.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daaah sina effect lakini, sisi wengine kama Berbertov hatuko sharp kama wakina Messi
Nausoma vizuri hapa 😀
Sasa hapo ukimaliza swagga zako, anza kumsifia mpk aseme basi inatosha, wewe endelea tu kumsifiaHahaha....
Ngoja nianze kujifunza.
-Ninamiliki maduka 4 ya € Arusha makao mapya.
-Nina kampuni kubwa nne za usafirishaji na utalii.
-Nisaidie kuwaambia warembo nimechoka kwa kazi sekretari wangu atawatumia pesa sekunde chache zijazo.....
Hahaha....Mzee baba sifananii.
Ulishafanikiwa kwa hii njia au mimi chambo?Sasa hapo ukimaliza swagga zako, anza kumsifia mpk aseme basi inatosha, wewe endelea tu kumsifia
(Usijisikie vibaya hivyo vitu unavyomsifia hata kama hana hata kimoja)
Kuna muda atajua kama unachojisifia au unachomsifia havipo. Lakini ataishia kutabasamu tu[emoji23][emoji23]
Na ukiona katabasamu tu ujue dalili njema
Unatembelea miguu mingapi kwanza?😛😛Usiniambie kama mbaya lakini [emoji51]
Ukiona unakuwa na mwanamke na haujamtongoza ujue hajakuvutia...wala sio udomo zege.
Kulala kwa fanani ni uzembe wa hadhira. [wanawake tuelewane sijasema ni mbaya aaa nimeandika hajakuvutia].
HahahahHapa watajitetea waonekane hawana makosa.
Ila wanaume wanaumiza sana.
Mdada wa watu unajua unaenda kukutana na mkaka anaendesha lexus...unaishia kupandishwa bodaboda.
So sad!!
Dooh!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulishafanikiwa kwa hii njia au mimi chambo?
Kila siku nikisoma mada za humu za namna hii nasema nami nitafute kamdada kazuri kazuri ka JF lakini nasahau.
Inaonekana mnaenjoy saana...Unakuwa na mademu sita unachitchat nao ila nje hawajuani....Pm unamwambia babe you are alone.
Unatembelea miguu mingapi kwanza?😛😛
Tafutatafu basi upate ya miguu minneNashukuru Nina toyo yangu ya kubebea mizigo sokoni, sijui utaweza kupanda .
Hahahah
Oooh,poa poa babake[emoji3] [emoji3]Maana yake usiwaze mama hamna tatizo
Kuna Jamaa humu ana gari Kali huyo mama yangu mzazi sijawai ona. Anaipenda gari yake kuliko chochote.ila ni kauzu balaa.
Ila kwa kifupi humu kuna watu wana mpunga sio kitoto sema wanapenda tu papuchi.
Humu kila kitu fake ni mwendo wa kulrelease stresss,sinaga muda wa kutongoza nikivutiwa na avatar yako naingia inbox kuuliza swali moja straight na ninataka jibu straight vingine ni kupotezeana mida tu.
Uje untangaze?Hebu niambie Leo tukutane wapi nile kuku mie. Nataka nikudangie leo