Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Mie sina hata hamu na wanaume wa humu.
Nimekutana na mkaka akasema anamiliki kampuni...hahahhah
Chinekeeee.

Bora hata mie ninayemiliki makalio.
Yule kaka sijui kaniblock, simuoni kabisa jukwaani.
 
Mie sina hata hamu na wanaume wa humu.
Nimekutana na mkaka akasema anamiliki kampuni...hahahhah
Chinekeeee.

Bora hata mie ninayemiliki makalio.
Yule kaka sijui kaniblock, simuoni kabisa jukwaani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alitaka akuajiri nini
 
Nafanya fanyaje na mimi nikutane na mwanadada wa JF in really life?

Wakuu naombeni hints na mimi niyashuhudie mnayoyaona huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…