Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alitaka akuajiri nini
Hahahhahahah.....huenda
Akajitapa ana kampuni ya tours sijui kapiga picha ofisi ya mtu atajijua yeye huko Arusha.

Ghafla anataka kuja Dar kunitembelea, kupiga mahesabu ya gharama za kukaa wiki hotel + chakula + vinywaji + ya usumbufu wangu ([emoji5][emoji5][emoji5]) ikaja Mil 1.9 na senti.

Jamaa akasema anaenda kuchenchi pesa Bureau de change huko huko Arusha.....mpaka leo hajarudi pm wala wasap, itakuwa kuna foleni mpaka leo huko dukani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nyoooooo.....anadhani matumizi ni kama matako, kila mtu anayo!!![emoji41][emoji41][emoji41]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaniuaa madam
Ngoja mung aone hapa utamkoma
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hujasikia kwani Bureau de change za Arusha zimefungwaga. πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ
 
Mil 1.9 tuuu yani tuseme 2Mil
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…