Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hivyo viatu yenu bila uongo haivaliki?Jaribuni kuvaa viatu vya uanaume ndo mtajua haya.. Mwisho ataamua mwenyewe sasa noma aipeleke wapi [emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo viatu yenu bila uongo haivaliki?Jaribuni kuvaa viatu vya uanaume ndo mtajua haya.. Mwisho ataamua mwenyewe sasa noma aipeleke wapi [emoji1][emoji1]
Baki na sidhani zakoSidhani kama humu unaweza kupata mtu sahihi.
Kachagua sifa moja utakayoipenda ndio sifa yangu hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ipi hiyo mkuu
Hahahah😂😂😂😂 Nimecheka.
Afu mtoa mada kasahau ile tabia ya wanaume kukutongoza kwa Id mpya.
Mie wakati najiunga jf niliamini humu wote mi akina Mr. Nice guy.
Lohhh!!! Yalikuja kunikuta humu, sina hamu mpaka leo
Ambalo kwa asilimia kubwa lina ukweli. Wawache jamaani si tabia nzuri. Kama hawana hawana tu kwani siku zote maandishi huwa hayabadili kitu. 😂😂😂😂😂Mtoa mada atatukanwa sana ila karusha jiwe gizani.
Aisee
Wanaume wa humu wana roho ngumu sana.
[emoji23][emoji23][emoji23] basi tumeachaHivyo viatu yenu bila uongo haivaliki?
Hapa watajitetea waonekane hawana makosa.Hivyo viatu yenu bila uongo haivaliki?
Unajua sisi wanawake tunapenda sana kuambiwa ukweli wa maisha ya mwanaume.
Mie napenda sana mwanaume mkweli ila ndo kila siku naangukia pua...
Baki na sidhani zako
Uuuwiiii kwenye miwani mbona kama nasimangwa mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi wanawake wa humu Jf, tunajua fika kwamba wanaume wa humu....
Wote wana pesa,
Wote wana magari,
Wote wana elimu kuanzia degree,
Wote wamejenga,
Wote wanajua kuvaa,
Wote wazuri....
Ila sasa mie nashindwa kuelewa, kwanini ukikutana na baadhi yao wengi hawako kama wanavyojishaua humu Jf?
1. Anasema ana pesa, ila ukikutana nae ni unga unga mwana mpaka utashangaa ila akiwa jukwani sasa Mengi atasubiri.
Mjue mnajishushia CV
2. Mada za kuchangia zinazohusu magari, naye yumo tena atataja mpaka aina ya gari analomiliki, ila nje ya keyboard ukikutana nae atakutembeza na bodaboda mpaka makalio yaote sugu...alivyo ni tofauti na mmiliki wa hata baiskeli ya guta.
Mjue mnajishushia CV.
3. Kwenye jukwaa la elimu kila mada inayohusu wenye elimu za juu utamkuta akichangia huku akijitapa yeye ni msomi wa degree au masters ila nje ya keyboard sasa, anamiliki certificate of uzushi na uwongo from Kamgambile college.
Mjue mnajishushia CV.
4. Kuna mdau humu nilikuwa napenda sana post zake kuhusu assets anazomiliki yakiwemo makampuni 2 na nyumba 1 pamoja na kijiusafiri.
Siku nakutana nae sikuamini kama ndio yeye, jamaa anaishi chumba ambacho mie kwetu naweza kufugia sungura wawili tu.
Yule jamaa mpaka leo kani-ignore sijui nilimkosea wapi.
Mjue mnajishushia CV.
5. Kuna mmoja nilienda kukutana nae La Chaaz Sinza.
Jamaa nilikutana nae jukwaa la Mitindo na utanashati akijitanaibu kuwa yeye ndie mwanaume smart Jf nzima.
Siku naonana nae sikuamini macho yangu.
Kwanza juu kapiga singlend ya kukata mikono, ana kigimbi sio cha nchi hii.
Nywele za kwapa zimekuwa za brown, jasho sasa kama tuko ndani ya mgodi.
Chini kavaa kipensi cha jeans kimekaa kama kipedo, mguuni ana zile ndala nyeupe zinazouzwa Kariakoo.
Nilivyofika pale nikafungua jukwaa la mitindo nikawa nasoma comment zake huku namuangalia kiupande ili ni-compare nae.
Wanaume acheni kujikweza.
Mjue mnajishushia CV.
6. Kwenye uzuri ndo sisemi.
Aliyekwambia kuvaa miwani ndio uzuri nani?
Sema sura yako ilivyo ili nijue nadili na mtu wa aina gani nilikutana nawe.
Mtu anajisifu handsome wakati anasura ya kumtishia mtoto wakati wa kula na wakati wa kulala.
Mjue mnajishushia CV.
Mbona huku Jf kuna wanaume wako real tu jamani!!!
Humu Jf kuna wanaume ambao akisemacho humu ndicho hikohuko utakutana nacho ukionana nae.
Mie nilijua waongo ni sisi tu, kumbe hata wanaume hamvumi ila mpo.
Utakuta mwanaume anahangaika kujikwenza kwa mwanamke kwa kujisifia jukwaani, ila ukienda nae Pm, utapasuka kwa kicheko.
Sisi wanawake tunafanya hivi kwa ajili ya kuwanasa wanaume, hasa kwa mwanaume unafanya ili iweje?
Wanaume punguzeni mbwembwe.
Msuli haufungwi kwa mkanda.
Kuweni real bhana samtaim bahati mnazipeperusha wenyewe.
Unahangaika nami Pm mwezi mzima, siku ya kuja kuonana nawe najikuta najutia bando langu wakati nachat nawe kipindi chote hiko.
Kuweni serious bhana wanaume wa humu.
Mbona kuna wengine tunapenda wanaume wasio na mvuto?
Tunawapenda wasio na magari wala nyumba wala makampuni wala wenye hizo six pack?
Mtajificha nyuma ya keyboard mpaka lini?
Ndo yaleyale, mnakutana kwenye meetings badala ya kujadili kilichowaleta, mnaanza kumjadili Juma na post zake za kujisifia wakati yuko hapo mbele yenu na hamuamini kama ndo yeye.
Nawaambia wanaume wa JF, MNAJISHUSHIA CV.
Wanaume real wapo...asa nyie endeleeni kufake huku Jukwaani afu tukiyaleta maisha yenu halisi jukwaani muanze kusema wanawake mwalimu wetu kipofu.
Povu ruksa.
Madongo rusha kwa akili maana tutaleta screenshot afu tuanze kutafuta mchawi hapa.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji144][emoji144][emoji144]Bora mnaokutana, wengine naona tuna nuksi mtaani mpaka Jf!
Sawa mkuuKachagua sifa moja utakayoipenda ndio sifa yangu hiyo
Leo zamu yao. 😂😂😂 Sa hizi wanafura huko.Hahahah
Ila wanawake tunasakamwa kwenye thread jamani
Kila siku wanawake tuuuuu......
Ewaaaa. Japo usisemee nafsi za wenzio Word.[emoji23][emoji23][emoji23] basi tumeacha
Hahaha nanyie muwe real ... Tusisumbuane saaanaEwaaaa. Japo usisemee nafsi za wenzio Word.