Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka waonekane vijogoo wakati Wana life gumu. Wakioko vzuri hawana mda mchafu wakutongoza humu na kudaganyaKabisa.
Yaani ni waongo sijapata kuona.
Jamani hii tabia akina kaka wa humu sijui itawafikisha wapi.
Haswaaaaaa mwanamke unamwambia anachopenda kusikia.. [emoji23]Hivyo chanzo cha uongo wao ni sisi wenyewe Ke?
Naona unataka kubadilisha upepo sasa Word. Leo ni zamu ya Me tu. [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Haaya..Mimi comments zangu huwa ni real ndo mana mahusiano ya humu siyatilii maanani. Maana asilimia tisini humu life gumu
Wacha Weee. Kama anapenda madolar basi unakwenda naye sawa. 😂😂😂 Ikija kujulikana ukweli ndio panachimbika.Haswaaaaaa mwanamke unamwambia anachopenda kusikia.. [emoji23]
Umeonaeee. Mpaka wajue kwamba njia ya muongo huwa ni fupi siku zote.Hahaaaaa mpaka wanyooke
Haya maneno ni msumari wa moto ujue.Wanataka waonekane vijogoo wakati Wana life gumu. Wakioko vzuri hawana mda mchafu wakutongoza humu na kudaganya
Asubutuuuu.Watu wanaingia na Gia zote kama nyie mnavyoishi humu kwa comment zenu anakaba angle izo ukijaa wake.
Ebu ishia hapo, maana hawakawi kukufanyia uhakiki🤓🤓 degree au sio
Unajua sisi wanawake tunapenda sana kuambiwa ukweli wa maisha ya mwanaume.Hahaaaaa alikoma kweli mimi hupenda mtu real. JF ni kichaka
Ila nasi wanawake wa Jf tumezidi midomo.Ndio hapo sasa. Inabaki aibu tu na kupita kimya kimya. 😂😂😂😂
Jaribuni kuvaa viatu vya uanaume ndo mtajua haya.. Mwisho ataamua mwenyewe sasa noma aipeleke wapi [emoji1][emoji1]Wacha Weee. Kama anapenda madolar basi unakwenda naye sawa. [emoji23][emoji23][emoji23] Ikija kujulikana ukweli ndio panachimbika.
Mtoa mada atatukanwa sana ila karusha jiwe gizani.
Ila nasi wanawake wa Jf tumezidi midomo.
Ona sasa tunakosa mambo mazuri kwa uongo wao
Muwe mnaambiana kwanza wenyewe.. Bwana sisi sisi ndo tupo mtaani hukoAsubutuuuu.
Mie ninavyocomment ni maisha yangu tosha.
Sema kuna wadada wengine wanajifanya wako so expensive, ila Allah ndio anajua
Haya mambo ya mitandaoni ni darasa tosha
😂😂😂😂 Nimecheka.Ila nasi wanawake wa Jf tumezidi midomo.
Ona sasa tunakosa mambo mazuri kwa uongo wao
Unajua sisi wanawake tunapenda sana kuambiwa ukweli wa maisha ya mwanaume.
Mie napenda sana mwanaume mkweli ila ndo kila siku naangukia pua...
Afu mtoa mada kasahau ile tabia ya wanaume kukutongoza kwa Id mpya.Wanataka waonekane vijogoo wakati Wana life gumu. Wakioko vzuri hawana mda mchafu wakutongoza humu na kudaganya