Anaitwa siasa...
Kuna mdada wa JF anaitwa mama mkubwa alikutana na mwanamme anapua kubwa haienei kwenye camera..
Hahaha... Wabongo bhana.
Watu wengi humu ni makapuku watoto wa wakulima sasa nikiona waja kuzalilishana humu hushangaa mnoMnaposema life gumu mnamaanisha nini?
Kwamba wanaume maskini ndiyo wamejiunga JF?
[emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekupata vema sasa... Nimeibadili na V8 2018 editionUmenielewa kaka? Sijawai kuona asie Na gari.ile Prado yako bado unayo?
Hahaha....Hahahahah
Na leo mnalo hilo.
Mmezidi sana kutuonea jamani
Sawa najua umekuja kuwatetea sababu wewe sio muongo kwani wale waongo hutawaona hapa. πππ. Tulio wengi siku zote tuko real na sababu kuu ni kujua kwamba kuna leo na kesho kwani waeza jikweza hapa mwisho wa siku ikabaki aibu tu kama hao waliotajwa na mleta uzi.πππHahaha nanyie muwe real ... Tusisumbuane saaana
We mganga huna lolote.J3 ndani ya Kino
Afu unajua wanaume wengine hawajui kujiongeza.
I'd mpya ila uandishi uleule.
Waunganisha dot maarufu wakikubamba tu pm hakukaliki.
Eti I'd mpya imejiunga jana inakuja pm kukutongoza kisa kafuatilia post na michango kwa miaka 4.
Jamani kuna majini humu....kwanini asiseme mie fulani (thubutu)
Ila wanaume na I'd mpya ni pasua kichwa kwa kweli
Ila Watanzania waliowengi ndiyo hao.Watu wengi humu ni makapuku watoto wa wakulima sasa nikiona waja kuzalilishana humu hushangaa mno
Hahajah
Ndo ile ya fulani alijisahau akaleta screenshot ya mtongozo jukwaani.
Alijua yuko Pm afu kwa I'd mpya.
Hahahhah.....dah vimeo viko vingi sana humu.
Afu mtu ambae unachat nae kila siku, hata akija Pm na kubadili I'd uandishi wake utaujua tu
Nimeona sehemu mleta uzi anasema unakaa kwenye boda boda hadi makalio yanauma. πππHapa watajitetea waonekane hawana makosa.
Ila wanaume wanaumiza sana.
Mdada wa watu unajua unaenda kukutana na mkaka anaendesha lexus...unaishia kupandishwa bodaboda.
So sad!!
ππππTulishavaa vizuia risasi tukutaneni uwanja wa mapambano....
Gad....eeee...m
Ila muda mwingine unaweza ukawa unadhani hii ID ya mtu fulani (Daby) kwa hisia fulani kumbe wala sio yeye.[sikatai hisi zako]Hahaaaaa inasikitisha sana wengine waja kuchunguza watu wapate umbeya labda flani yukoje basi. Yani unakuta I'd mpya zatongoza tu kah had huwa naona jf maana yake yapotea sasa. Mimi Kuna mtu hunijia na I'd tofauti tofauti, hafu Ana force huyo. Mleta mada bora yeye kajionea
[emoji40][emoji40][emoji40] watajuana wenyewe..Sawa najua umekuja kuwatetea sababu wewe sio muongo kwani wale waongo hutawaona hapa. [emoji85][emoji85][emoji85]. Sisi tulio wengi hasa wale tunaojitambua siku zote tuko real na sababu kuu ni kujua kwamba kuna leo na kesho kwani waeza jikweza hapa mwisho wa siku ikabaki aibu tu kama hao waliotajwa na mleta uzi.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika tena hizi za leo ni zile sindano za moto. πππππNa watulie tuli, sindano ziwaingie.
Mtoa mada katufungulia dunia kuwa tunalotaka
Na kweli Word. πππ[emoji40][emoji40][emoji40] watajuana wenyewe..
Kuna Jamaa humu ana gari Kali huyo mama yangu mzazi sijawai ona. Anaipenda gari yake kuliko chochote.ila ni kauzu balaa.[emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimekupata vema sasa... Nimeibadili na V8 2018 edition
Nimeona sehemu mleta uzi anasema unakaa kwenye boda boda hadi makalio yanauma. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mganga ana Prado huyo. Anapiga ramli Skype.anarogea you tubeWe mganga huna lolote.
Uje nionane nawe nikufungulie thread
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mganga ana Prado huyo. Anapiga ramli Skype.anarogea you tube
Kausha basii unatuumbua sisi misifa's campSisi wanawake wa humu Jf, tunajua fika kwamba wanaume wa humu....
Wote wana pesa,
Wote wana magari,
Wote wana elimu kuanzia degree,
Wote wamejenga,
Wote wanajua kuvaa,
Wote wazuri....
Ila sasa mie nashindwa kuelewa, kwanini ukikutana na baadhi yao wengi hawako kama wanavyojishaua humu Jf?
1. Anasema ana pesa, ila ukikutana nae ni unga unga mwana mpaka utashangaa ila akiwa jukwani sasa Mengi atasubiri.
Mjue mnajishushia CV
2. Mada za kuchangia zinazohusu magari, naye yumo tena atataja mpaka aina ya gari analomiliki, ila nje ya keyboard ukikutana nae atakutembeza na bodaboda mpaka makalio yaote sugu...alivyo ni tofauti na mmiliki wa hata baiskeli ya guta.
Mjue mnajishushia CV.
3. Kwenye jukwaa la elimu kila mada inayohusu wenye elimu za juu utamkuta akichangia huku akijitapa yeye ni msomi wa degree au masters ila nje ya keyboard sasa, anamiliki certificate of uzushi na uwongo from Kamgambile college.
Mjue mnajishushia CV.
4. Kuna mdau humu nilikuwa napenda sana post zake kuhusu assets anazomiliki yakiwemo makampuni 2 na nyumba 1 pamoja na kijiusafiri.
Siku nakutana nae sikuamini kama ndio yeye, jamaa anaishi chumba ambacho mie kwetu naweza kufugia sungura wawili tu.
Yule jamaa mpaka leo kani-ignore sijui nilimkosea wapi.
Mjue mnajishushia CV.
5. Kuna mmoja nilienda kukutana nae La Chaaz Sinza.
Jamaa nilikutana nae jukwaa la Mitindo na utanashati akijitanaibu kuwa yeye ndie mwanaume smart Jf nzima.
Siku naonana nae sikuamini macho yangu.
Kwanza juu kapiga singlend ya kukata mikono, ana kigimbi sio cha nchi hii.
Nywele za kwapa zimekuwa za brown, jasho sasa kama tuko ndani ya mgodi.
Chini kavaa kipensi cha jeans kimekaa kama kipedo, mguuni ana zile ndala nyeupe zinazouzwa Kariakoo.
Nilivyofika pale nikafungua jukwaa la mitindo nikawa nasoma comment zake huku namuangalia kiupande ili ni-compare nae.
Wanaume acheni kujikweza.
Mjue mnajishushia CV.
6. Kwenye uzuri ndo sisemi.
Aliyekwambia kuvaa miwani ndio uzuri nani?
Sema sura yako ilivyo ili nijue nadili na mtu wa aina gani nilikutana nawe.
Mtu anajisifu handsome wakati anasura ya kumtishia mtoto wakati wa kula na wakati wa kulala.
Mjue mnajishushia CV.
Mbona huku Jf kuna wanaume wako real tu jamani!!!
Humu Jf kuna wanaume ambao akisemacho humu ndicho hikohuko utakutana nacho ukionana nae.
Mie nilijua waongo ni sisi tu, kumbe hata wanaume hamvumi ila mpo.
Utakuta mwanaume anahangaika kujikwenza kwa mwanamke kwa kujisifia jukwaani, ila ukienda nae Pm, utapasuka kwa kicheko.
Sisi wanawake tunafanya hivi kwa ajili ya kuwanasa wanaume, hasa kwa mwanaume unafanya ili iweje?
Wanaume punguzeni mbwembwe.
Msuli haufungwi kwa mkanda.
Kuweni real bhana samtaim bahati mnazipeperusha wenyewe.
Unahangaika nami Pm mwezi mzima, siku ya kuja kuonana nawe najikuta najutia bando langu wakati nachat nawe kipindi chote hiko.
Kuweni serious bhana wanaume wa humu.
Mbona kuna wengine tunapenda wanaume wasio na mvuto?
Tunawapenda wasio na magari wala nyumba wala makampuni wala wenye hizo six pack?
Mtajificha nyuma ya keyboard mpaka lini?
Ndo yaleyale, mnakutana kwenye meetings badala ya kujadili kilichowaleta, mnaanza kumjadili Juma na post zake za kujisifia wakati yuko hapo mbele yenu na hamuamini kama ndo yeye.
Nawaambia wanaume wa JF, MNAJISHUSHIA CV.
Wanaume real wapo...asa nyie endeleeni kufake huku Jukwaani afu tukiyaleta maisha yenu halisi jukwaani muanze kusema wanawake mwalimu wetu kipofu.
Povu ruksa.
Madongo rusha kwa akili maana tutaleta screenshot afu tuanze kutafuta mchawi hapa.