Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Wanaume wa JF mnajishushia CV zenu kwa wadada. Kuweni real, acheni fake life

Hahahaha
Jamani, mie siwezi aisee.
Nimeamua kukuachia nafasi yako.

Yupo na huenda anasoma hapa.
Jamaa anatoa ratiba ya vyakula atakavyokula ndani ya nyumba siku akija kunioa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukikuta mwanaume kama huyo c mzm anachembechembe za upumbav
 
Ila semeni yote Mimi nataka mume humu kabla ya tar 31 dec. Ila uwe unaishi dar .hata kama huna gari poa tu najua hutakosa hela ya Uber gari tutanunua tu soon
Miss huyo mume hujampataga tu toka mwaka juzi? Hebu jaribu kubadili ID iwe "miss kumpata" huenda loki ya Nyota ipo kwenye ID ya sasa!
 
Da jane tafadhali kama hivyo vigezo ulivyotaja hapo bado unavitumia nakuomba uje kwangu mapema maana nimekidhi vigezo vyotee, namiliki pumzi tu na uanaume.. Sema fasta nije pm tuyajenge
Hahah
 
Hahahhahahah.....huenda
Akajitapa ana kampuni ya tours sijui kapiga picha ofisi ya mtu atajijua yeye huko Arusha.

Ghafla anataka kuja Dar kunitembelea, kupiga mahesabu ya gharama za kukaa wiki hotel + chakula + vinywaji + ya usumbufu wangu ([emoji5][emoji5][emoji5]) ikaja Mil 1.9 na senti.

Jamaa akasema anaenda kuchenchi pesa Bureau de change huko huko Arusha.....mpaka leo hajarudi pm wala wasap, itakuwa kuna foleni mpaka leo huko dukani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nyoooooo.....anadhani matumizi ni kama matako, kila mtu anayo!!![emoji41][emoji41][emoji41]
Niko mtaani kwako
 
Ila kwanini binadamu tunapenda habari zinazomkweza binadamu unayetaka kuwa naye karibu?

kwanini nauliza hivyo...mwanamme anayemdanganya mwanamke ana duka la dola wakati hana...hii inamaana amemwambia anachotaka kuskia. Angeambiwa usiku sikula mwanangu kalala njaa hata kujibu PM asingendelea.

hivyo hivyo kwa mwanamme...mwwnamke anayekudanganya anachura kumbe hana...anakuplease kisaikolojia maana ndicho unachotaka kuskia.

ukimweleza mimi ni mbaya hamu ya kuchat nawe PM inaisha.

Je, kwanini hatuoendi kuskia mapungufu ya wenzetu ili kama tunaweza kuwasaidia tuwasaidie?

Au tunaangalia faida zetu...tunaenda kufaidika nini?


Binadamu tu wabinafsi saana.
Kama ulimwengu ungekuwa fair hili ulilooandika lingekuwa na maana kubwa na hata hivi vilio visingekuwepo. Most women wants to hear the good side of the story and really get attracted to it! Ukiongelea the odd side umekwisha, ndicho wanaume wamejifunza na wanafanya kila liwezekanalo kuongelea yatakayomvutia mwanamke!
It takes a man with balls to be honest because most men cant afford loosing!
 
Yule ni samjo aliwahi jifanya rubani akabadili na lafudhi akawa anaongea lafudhi ya ntu asiye mtz..ili Ang'oe manzi..uongo wake ni Sawa na ukweli. Ana visa KIBAO VYA kuwapanga wanawake...mimi nikikumbuka mishe nakuwa nacheka tuu...
HahHahh
 
Wahuni wa mjini wakiona au kusikia kauli kama hiyo utasikia, ukiona manyoya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ujue mapema sana yani watu wamemaliza shughuli!
 
Back
Top Bottom