Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchukue mkalaleAbee mama
Nilivyo chukia ungejuaUende wapi?
😀😀😀Jamanii best yamekuwa hayoMchukue mkalale
Ndio mamaHiyo ndo sababu kweeli?!
Jana si tuliongea vizuri hajjjat
Hapana huyo mmetoka mbali huwezi kumuacha kirahisi hivi
Mlale salama wapendanao, mie moyo waumaaaaUende wapi?
SawaNdio mama
embu jiamini uko; acha kuwa mnyonge.Nilivyo chukia ungejua
Ndiwooo[emoji3][emoji3][emoji3]Jamanii best yamekuwa hayo
Ulinambia niko peke yangu why hukunambia yupo mwenzanguJana si tuliongea vizuri hajjjat
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Demis nilikuwa niko radhi kuja hadi dom ila una dalili zote za kuwa cheche!
Najivua gamba
Best kama utachukulia serous shauri yako mwenzio utani huu hakuna ukweli wowote 😀😀😀😀Mlale salama wapendanao, mie moyo waumaaaa
Hahaha umechanjia wapi kwani mama, yani umeshtuka usingizini direct hapa. Ila Mimi juuu yako unajuaMlale salama wapendanao, mie moyo waumaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Best kama utachukulia serous shauri yako mwenzio utani huu hakuna ukweli wowote [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa unahofia nini mama; siku si nyingi nakuijiaUlinambia niko peke yangu why hukunambia yupo mwenzangu
Ndo ujue siibiwagi mie babaaHahaha umechanjia wapi kwani mama, yani umeshtuka usingizini direct hapa. Ila Mimi juuu yako unajua
Ila we demiss mkorofi makarasha umeyajulia wapiPole sana naona unavyohangaika na makalashaaView attachment 1078666
Afadhali mwenzio naogopa nisije kupigwa bure humu wengine ni mke na mume sema kuwajua kazi na mimi kwa utani wangu iko siku nitapigwa tu 😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwenyewe utani tuu best...