Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua unavyoumia mkuu ndo mana najaribu kukufariji usawa huu 25000 sio ndogo, ila ndo hivyo mapenzi biashara kama forever living, umekula asala jipange next time usifanye makosa,Roho inauma sana hela yangu
Asante kwa kuuliza[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasisi wadada tukitaka kukuona,,nasisi tunalipa nauli??
Najua unavyoumia mkuu ndo mana najaribu kukufariji usawa huu 25000 sio ndogo, ila ndo hivyo mapenzi biashara kama forever living, umekula asala jipange next time usifanye makosa,
Oooh sawaMm msingidaaa
Mlikuwa mnakuja kuonana tu au??Koagopa kudangiwa kajua kunikomeshaa kwa kweli
Shoga nakaa hombolo huku utapaweza mama angu mjini tu mpaka ufike nauli elf 20000
Aisee poleKuonana tu alafu mm nimezoea mtu mkionana anakupa nauli ya kurudia
Sasa hapa nikajirudisha mwenyewe huoni hasara jaman
Kwani mtu akisema nataka tuonane ni vibaya? Au wewe unawaza ni mapenzi tu?Demis nilikuwa niko radhi kuja hadi dom ila una dalili zote za kuwa cheche!
Najivua gamba