Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Roho inauma sana hela yangu
Najua unavyoumia mkuu ndo mana najaribu kukufariji usawa huu 25000 sio ndogo, ila ndo hivyo mapenzi biashara kama forever living, umekula asala jipange next time usifanye makosa,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasisi wadada tukitaka kukuona,,nasisi tunalipa nauli??
Asante kwa kuuliza[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yani acha tu hela inauma sana nilijua naenda kupata faida kumbe nimekula hasara looh
Najua unavyoumia mkuu ndo mana najaribu kukufariji usawa huu 25000 sio ndogo, ila ndo hivyo mapenzi biashara kama forever living, umekula asala jipange next time usifanye makosa,
 
Kuonana tu alafu mm nimezoea mtu mkionana anakupa nauli ya kurudia
Sasa hapa nikajirudisha mwenyewe huoni hasara jaman
Mlikuwa mnakuja kuonana tu au??

Maana kama kulikuwa na mengine ningekushauri ungechukua advance mapema..
 
Back
Top Bottom