Umekeketwa bila shakaMm msingidaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekeketwa bila shakaMm msingidaaa
We mwenyewe ukajua waenda kutana na pedezyeeee la ki Canada Dada kae. wahuni sio watu wazuriNimeshapoa ndugu yangu yani hela inaniuma sanaaa
Ebwana eeeh kweli leo umeamua kujiachia
Ningekua na hela ningekuka Dom sema life langu lenyewe naganga ngoja niendelee kula kwa macho nisijekuanzishiwa uzi humu kama huyo jamaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani wanajf waingiao dodoma lazima wajiandikishe kwenye daftari lako? Au mi ndio sijaelewa[emoji1][emoji1][emoji1]Bora tu niseme ukweli kuliko kudanganyanaa.
Kwanini nimesema mwanaume yeyote anaye hitaji kuonana na mimi lazima atume nauli.
MKASA
Kuna mkaka mmoja wa Jf ana I'd yake inaanzia kama ya kike alinifata pm anahitaji kuonana na mimi.
Mimi wala sikuwa na shobo naye akaniganda kama rubaa nakwambia ooh mara natoka Canada nitashuka kenyata airport mara sjui wapi nakuja Dodoma kikazi lazima nikuone Demiss.
Mimi kusikia hivyo nikaona huyu mtu wa maana bwanaa weee kumbe hamsini zangu zimefika chiii
Huyu mkaka baada ya kufika Dom tukawasiliana akasema niende town alafu si mnajua mm naishi huku Hombolo jamani.
Eeeh nikachukua bodaboda mpaka mjini gharama elf 20 nikalipa.
Kichwani nilivaa wigi limeshachambuka na upepo limekuwa kama vuzi la Escober.
Nikapitia saloon kwa Jesca mcharuko akanipaka make up mimi akanichana na wigi kwa sh elf 5. Jumla nimetumia elf 25 mpaka hapo.
Nikakaa hapo saloon nasubiria kuonana na Mwanajf asije akanikimbia nimeshajipodoa na kuupara mtoto nanukia marashi weee balaaa.
Wewe si akaingiza sababu kibaoo jaman nilikereka hapo alisema atarudisha nauli yangu ikabidi niende kulala kwenye geto la Jesca Maili mbili.
Kesho nikaamka nikaenda nane nane nikapanda Super baraka mpaka hombolo nikiwa na mawazo debee.
Jaman nilipata hasara yani hela yangu bado inaniuma mpaka leo.
Alafu huyo member alisema atanirudishia lakini wapi mpaka leo sijaona muamala ukisoma kiufupi hela yangu inaniuma yani ningenunua mchele si ningepata hata kilo kumi.
Kuanzia leo naomba mjue mimi naishi HOMBOLO village.
Mchanganuo wa nauli
Hombolo-Town Elfu 40,000 kwenda na kurudi.
Saloon - Elf10,000
Kama huna nauli basi uwe na gari ya kunifata nilipo sitaki usumbufu.
Onyo:
Sijalazimisha kuonana na mtu ila mkae mkijua habari ndo hiyooo.
Alafu mm sina kifua ukinifanyia kitu lazima niseme saivi kiufupi siwezi kuweka mambo rohoni nisije kufa na pressure.
Location: Ihumwa Machimboni.
MkWewe ni mtu na heshima zako hapa jamvini sidhan kama ni sahihi kuandika mada hii labda kama account yako iko hacked leo![]()
![]()
Inawezekana mwenzako alipata mtu kukuzidi, halafu na nyie wanaume muwe mnaangalia watu wa kuwaita Sasa mtu Kama huyu mm hata kuwa karibu naye sitaki...na Kuna uwezekano mkubwa hakutumia hiyo pesa ila ameamua kuleta uchangudoa wake hapa.Hahahahhahaha karma is........
Principle za badoo.umeshazisahau tiyari Dada akeWacha nakwambia kumbe mtu yupo tandika kaamua kunikomeshaa D mm kanitia hasaraaa
Wengi huwa wanataka kuniona hivyo kupunguza kerooo nimeamua kuwafukuza kijanja
[emoji3][emoji3][emoji3]Yani hapo utawafanya wasijifikirie mara mbili kutaka kukuona. Hapa nilipo najiuliza kwann wengi wanatak kukuona na bahati nzuri ushatoa utaratibu.
Demisi shikilia hapo hapo. Turn scenario around imagine we MME . Umemtumia dem nauli na mazaga zaga kbao dem asitokee embu imagine that feeling af compare it with what you gotBora tu niseme ukweli kuliko kudanganyanaa.
Kwanini nimesema mwanaume yeyote anaye hitaji kuonana na mimi lazima atume nauli.
MKASA
Kuna mkaka mmoja wa Jf ana I'd yake inaanzia kama ya kike alinifata pm anahitaji kuonana na mimi.
Mimi wala sikuwa na shobo naye akaniganda kama rubaa nakwambia ooh mara natoka Canada nitashuka kenyata airport mara sjui wapi nakuja Dodoma kikazi lazima nikuone Demiss.
Mimi kusikia hivyo nikaona huyu mtu wa maana bwanaa weee kumbe hamsini zangu zimefika chiii
Huyu mkaka baada ya kufika Dom tukawasiliana akasema niende town alafu si mnajua mm naishi huku Hombolo jamani.
Eeeh nikachukua bodaboda mpaka mjini gharama elf 20 nikalipa.
Kichwani nilivaa wigi limeshachambuka na upepo limekuwa kama vuzi la Escober.
Nikapitia saloon kwa Jesca mcharuko akanipaka make up mimi akanichana na wigi kwa sh elf 5. Jumla nimetumia elf 25 mpaka hapo.
Nikakaa hapo saloon nasubiria kuonana na Mwanajf asije akanikimbia nimeshajipodoa na kuupara mtoto nanukia marashi weee balaaa.
Wewe si akaingiza sababu kibaoo jaman nilikereka hapo alisema atarudisha nauli yangu ikabidi niende kulala kwenye geto la Jesca Maili mbili.
Kesho nikaamka nikaenda nane nane nikapanda Super baraka mpaka hombolo nikiwa na mawazo debee.
Jaman nilipata hasara yani hela yangu bado inaniuma mpaka leo.
Alafu huyo member alisema atanirudishia lakini wapi mpaka leo sijaona muamala ukisoma kiufupi hela yangu inaniuma yani ningenunua mchele si ningepata hata kilo kumi.
Kuanzia leo naomba mjue mimi naishi HOMBOLO village.
Mchanganuo wa nauli
Hombolo-Town Elfu 40,000 kwenda na kurudi.
Saloon - Elf10,000
Kama huna nauli basi uwe na gari ya kunifata nilipo sitaki usumbufu.
Onyo:
Sijalazimisha kuonana na mtu ila mkae mkijua habari ndo hiyooo.
Alafu mm sina kifua ukinifanyia kitu lazima niseme saivi kiufupi siwezi kuweka mambo rohoni nisije kufa na pressure.
Location: Ihumwa Machimboni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha kwahiyo sina kiharageeee
Jaman umenifanya niende chooni kujichungulia
so nktaftie sh ngap ili ufrahie to the maximum? au nkualike mogoroto forestHahahhahaha jaribu sasa kuingia kwenye 18 zangu uone