Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Msema kweli mpenzi wa munguuu mm sijazoea kufake jaman
Ebwana eeeh kweli leo umeamua kujiachia
Ningekua na hela ningekuka Dom sema life langu lenyewe naganga ngoja niendelee kula kwa macho nisijekuanzishiwa uzi humu kama huyo jamaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora tu niseme ukweli kuliko kudanganyanaa.

Kwanini nimesema mwanaume yeyote anaye hitaji kuonana na mimi lazima atume nauli.


MKASA
Kuna mkaka mmoja wa Jf ana I'd yake inaanzia kama ya kike alinifata pm anahitaji kuonana na mimi.
Mimi wala sikuwa na shobo naye akaniganda kama rubaa nakwambia ooh mara natoka Canada nitashuka kenyata airport mara sjui wapi nakuja Dodoma kikazi lazima nikuone Demiss.

Mimi kusikia hivyo nikaona huyu mtu wa maana bwanaa weee kumbe hamsini zangu zimefika chiii

Huyu mkaka baada ya kufika Dom tukawasiliana akasema niende town alafu si mnajua mm naishi huku Hombolo jamani.

Eeeh nikachukua bodaboda mpaka mjini gharama elf 20 nikalipa.
Kichwani nilivaa wigi limeshachambuka na upepo limekuwa kama vuzi la Escober.
Nikapitia saloon kwa Jesca mcharuko akanipaka make up mimi akanichana na wigi kwa sh elf 5. Jumla nimetumia elf 25 mpaka hapo.

Nikakaa hapo saloon nasubiria kuonana na Mwanajf asije akanikimbia nimeshajipodoa na kuupara mtoto nanukia marashi weee balaaa.

Wewe si akaingiza sababu kibaoo jaman nilikereka hapo alisema atarudisha nauli yangu ikabidi niende kulala kwenye geto la Jesca Maili mbili.

Kesho nikaamka nikaenda nane nane nikapanda Super baraka mpaka hombolo nikiwa na mawazo debee.
Jaman nilipata hasara yani hela yangu bado inaniuma mpaka leo.
Alafu huyo member alisema atanirudishia lakini wapi mpaka leo sijaona muamala ukisoma kiufupi hela yangu inaniuma yani ningenunua mchele si ningepata hata kilo kumi.

Kuanzia leo naomba mjue mimi naishi HOMBOLO village.

Mchanganuo wa nauli
Hombolo-Town Elfu 40,000 kwenda na kurudi.
Saloon - Elf10,000

Kama huna nauli basi uwe na gari ya kunifata nilipo sitaki usumbufu.

Onyo:
Sijalazimisha kuonana na mtu ila mkae mkijua habari ndo hiyooo.
Alafu mm sina kifua ukinifanyia kitu lazima niseme saivi kiufupi siwezi kuweka mambo rohoni nisije kufa na pressure.

Location: Ihumwa Machimboni.
Kwani wanajf waingiao dodoma lazima wajiandikishe kwenye daftari lako? Au mi ndio sijaelewa[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Wewe ni mtu na heshima zako hapa jamvini sidhan kama ni sahihi kuandika mada hii labda kama account yako iko hacked leo
emoji23.png
emoji23.png
Mk
Hahahahhahaha karma is........
Inawezekana mwenzako alipata mtu kukuzidi, halafu na nyie wanaume muwe mnaangalia watu wa kuwaita Sasa mtu Kama huyu mm hata kuwa karibu naye sitaki...na Kuna uwezekano mkubwa hakutumia hiyo pesa ila ameamua kuleta uchangudoa wake hapa.
Kuna maswali najiuliza... Unawezekanaje kutumia kwenye pikipiki nauli ya tsh 20000 kwenda kumuona mtu usiyemfahamu, wakati Kuna option ya kupanda gari au kumwambia yeye aje?
Hawa ni madanga huwa wanaishi kwa kujitegesha kwa wanaume na wakifail misheni zao wanaanza kuwachafua.

Kuna danga moja kipindi niko chuo mkoa flani lilinichafua kwamba Mimi " hanisi" kisa tu sikulipenda na Wala halinikuvutia kuligegeda na isitoshe nilikuwa sijapima nalo afya ikabidi kwa vile ilikuwa usiku na tulikuwa viwanja mbali likagoma kurudi kisa halina nauli na mfukoni mimi nilikuwa nimeshaishiwa nikaenda kwangu nikalala nae geto mpka asubuhi bila kumgegeda Kisha asubuhi nikampa nauli akaondoka
 
wanaume bana 😂😂😂
hapa akili yangu ishaahama kabisa
asee demiss SHINDWA na ulegee!!
kwa kwa nn uko rahisi ivyo we b dada
 
[emoji3][emoji3][emoji3]Yani hapo utawafanya wasijifikirie mara mbili kutaka kukuona. Hapa nilipo najiuliza kwann wengi wanatak kukuona na bahati nzuri ushatoa utaratibu.
Wengi huwa wanataka kuniona hivyo kupunguza kerooo nimeamua kuwafukuza kijanja
 
Eti wanasema huwa wanafurahia comment zangu wanifananishe na mimi
Maskini wangejua mweeee D mwenyewe kasichana kadogo tu hakana mbele wala nyumaa
[emoji3][emoji3][emoji3]Yani hapo utawafanya wasijifikirie mara mbili kutaka kukuona. Hapa nilipo najiuliza kwann wengi wanatak kukuona na bahati nzuri ushatoa utaratibu.
 
Hahahhahaha jaribu sasa kuingia kwenye 18 zangu uone
wanaume bana [emoji23][emoji23][emoji23]
hapa akili yangu ishaahama kabisa
asee demiss SHINDWA na ulegee!!
kwa kwa nn uko rahisi ivyo we b dada
 
Bora tu niseme ukweli kuliko kudanganyanaa.
Kwanini nimesema mwanaume yeyote anaye hitaji kuonana na mimi lazima atume nauli.
MKASA
Kuna mkaka mmoja wa Jf ana I'd yake inaanzia kama ya kike alinifata pm anahitaji kuonana na mimi.
Mimi wala sikuwa na shobo naye akaniganda kama rubaa nakwambia ooh mara natoka Canada nitashuka kenyata airport mara sjui wapi nakuja Dodoma kikazi lazima nikuone Demiss.
Mimi kusikia hivyo nikaona huyu mtu wa maana bwanaa weee kumbe hamsini zangu zimefika chiii
Huyu mkaka baada ya kufika Dom tukawasiliana akasema niende town alafu si mnajua mm naishi huku Hombolo jamani.
Eeeh nikachukua bodaboda mpaka mjini gharama elf 20 nikalipa.
Kichwani nilivaa wigi limeshachambuka na upepo limekuwa kama vuzi la Escober.
Nikapitia saloon kwa Jesca mcharuko akanipaka make up mimi akanichana na wigi kwa sh elf 5. Jumla nimetumia elf 25 mpaka hapo.
Nikakaa hapo saloon nasubiria kuonana na Mwanajf asije akanikimbia nimeshajipodoa na kuupara mtoto nanukia marashi weee balaaa.
Wewe si akaingiza sababu kibaoo jaman nilikereka hapo alisema atarudisha nauli yangu ikabidi niende kulala kwenye geto la Jesca Maili mbili.
Kesho nikaamka nikaenda nane nane nikapanda Super baraka mpaka hombolo nikiwa na mawazo debee.
Jaman nilipata hasara yani hela yangu bado inaniuma mpaka leo.
Alafu huyo member alisema atanirudishia lakini wapi mpaka leo sijaona muamala ukisoma kiufupi hela yangu inaniuma yani ningenunua mchele si ningepata hata kilo kumi.
Kuanzia leo naomba mjue mimi naishi HOMBOLO village.
Mchanganuo wa nauli
Hombolo-Town Elfu 40,000 kwenda na kurudi.
Saloon - Elf10,000
Kama huna nauli basi uwe na gari ya kunifata nilipo sitaki usumbufu.
Onyo:
Sijalazimisha kuonana na mtu ila mkae mkijua habari ndo hiyooo.
Alafu mm sina kifua ukinifanyia kitu lazima niseme saivi kiufupi siwezi kuweka mambo rohoni nisije kufa na pressure.
Location: Ihumwa Machimboni.
Demisi shikilia hapo hapo. Turn scenario around imagine we MME . Umemtumia dem nauli na mazaga zaga kbao dem asitokee embu imagine that feeling af compare it with what you got
 
Inaumaaa sana yani acha kabisa
Demisi shikilia hapo hapo. Turn scenario around imagine we MME . Umemtumia dem nauli na mazaga zaga kbao dem asitokee embu imagine that feeling af compare it with what you got
 
Hivi ni Demiss huyu huyu ninanaemfahamu kwa kumsikia? Na alivyo na jina kwa midume na mibinti humu Jf. Hivi ni huyu huyu kwel[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]?au akaunti yake ya Jf imehakiwa?
 
Back
Top Bottom