Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Why ampotezee mda na pesa mwenzie ila Demiss naye kazidi kwa ukame [emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha hahaha hahaha
Walikubaliana bwana, hata mkaka naye alipoteza muda pia!

Hivi kweli ukiitwa kama huna ratiba hiyo si unasema tuu!
 
Ehhehe nishakula kichambo tayar hapa napumulia mashine kaniita majina yote kuwa mm mdangaji mshamba wa ovyoo nina njaa hahahhaha

Wakat hapa nipo Nashera hotel nimelala miguu juuuKweli mm nina njaaa kinachoniuma ni pesa kuharibika kwenye bajeti.View attachment 1078678
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Ndege kaliwa na manyoya yake. Chiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Nimependa nikununulie viatu ila sio hivyo vya sagurasagura hapo mlangoni.
 
Aje kunipost huku aseme D naishi madongo kuserebukaa agaaaa sitaki miyeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tukutane mahotelini hukoo hukoo
Hahaha hahaha hahaha
Ilikuwa maamuzi yako mdogo wanguu, ulikuwa na uwezo wa kumuita akuje huko madongo kuinuka ujue
 
Ehhehe nishakula kichambo tayar hapa napumulia mashine kaniita majina yote kuwa mm mdangaji mshamba wa ovyoo nina njaa hahahhaha

Wakat hapa nipo Nashera hotel nimelala miguu juuuKweli mm nina njaaa kinachoniuma ni pesa kuharibika kwenye bajeti.View attachment 1078678
Mungu wangu Demiss una kula sana wew mwanamke hivyo vyakula vyote peke yako. Huyo mwanaume angekua na pesa angetoa nae mdangaji tu
 
Aje kunipost huku aseme D naishi madongo kuserebukaa agaaaa sitaki miyeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tukutane mahotelini hukoo hukoo
Hahaha hahaha hahaha
Lazima utumie nauli sasa
 
Mm mchaga hata jeroo nadai na nilishasema toka kalee mm napenda helaa jaman msema kweli mpenzi w mungu kwann nifake au kwann niumwe roho kujifich bora mtu ajue mm napenda madorali[emoji23][emoji23][emoji23]
Why ampotezee mda na pesa mwenzie ila Demiss naye kazidi kwa ukame [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom