Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Mm nilikataa bhn sema yeye aliomba kuonana mm wala sikuwa na shobo so nimefika kanizengua kwakweli lazima nijiulize[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha hahaha hahaha
Walikubaliana bwana, hata mkaka naye alipoteza muda pia!

Hivi kweli ukiitwa kama huna ratiba hiyo si unasema tuu!
 
Hahahahahh wewe kiatu changu nakipenda hichoo nikivaa na kipensiii
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Ndege kaliwa na manyoya yake. Chiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.

Nimependa nikununulie viatu ila sio hivyo vya sagurasagura hapo mlangoni.
 
Mungu wangu Demiss una kula sana wew mwanamke hivyo vyakula vyote peke yako. Huyo mwanaume angekua na pesa angetoa nae mdangaji tu
Yani nimekula peke yangu nilivyo mroho hahaahhaha
20190422_211049.jpeg
 
Back
Top Bottom