Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasisi wadada tukitaka kukuona,,nasisi tunalipa nauli??
Dada sheria msumeno lazim ikate kote kote na Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe lingine asilani
 
Naimagine hapa huyo mwanaume angeingia kwenye 18zako angekunguta hadi chupi[emoji23][emoji23]
 
Zimefika salamuu
Jaman enzi zile watoto wa Hombolo LGTI ndo walifaidi lakini tangu msimu huu uingiee hamna mambo si mlaumu huyo kaka..kwenda mjini ilikua ni kama unaenda chooni kupanda shabiby na super baraka ni kama kuvaa kandambili.
 
Kuna picha naijenga kuhusu huyu mleta maada inaweza kuwa inaakisi jinsi alivyo kwa asilimia kubwa
1. Yawezekana anajiuza
2. Anaishi kwa kudanga
Haiwezekani mtu utoke hombolo umfate mtu mjini kwa gharama hiyo halafu utegemee urudishiwe, Ina maana moja kwa moja ulitegemea zaidi ya hiyo kwake.
Na kingine mwanamke mwenye staha asingeleta upuuzi huo hapa lazma angeona haya, sisi wanaume tunajuana na nadhani huyo jamaa hakuwa na nia ya kukugegeda kwa vyovyote vile maana unaonekana wewe ni mweupe na mrahisi Sana.
Hujui tu, huyu ni kubwa la madanga anajiuza mbona kwa waliobahatika kulala nae wanasema wa kawaida sana tofouti na vile anavyojikweza humu ndani...
 
Tunavyowapa hela za saloon mnafkri hazituumagi eeh? sasa ndio mjue jinsi tunavyojiskia Tukiwahudumia alafu mkija geto mnasema mpo PERIOD yani tunatamanigi tuwameze kama BIG G
 
Hujui tu, huyu ni kubwa la madanga anajiuza mbona kwa waliobahatika kulala nae wanasema wa kawaida sana tofouti na vile anavyojikweza humu ndani...
Kuna jamaa mmoja alinifuata pm Jana baada ya kuandika reply yangu kwenye huu Uzi kuhusu dada uliyoquote anasema walionana na huyu dada alipoenda dodoma mapumziko, ilikuwa wagegedane baada ya kufika anasema demu alikuwa kawaida sana mnene kiasi, shepu haiweleki na mweupe kiasi na hakumvutia kabisa,ikabidi aagize savvanah then akamuaga anaondoka kuendelea na ratiba..anasema hakumvutia kabisa, akanitumia picha zake na namba zake za simu anazotumia na akanipa majina yake anayotumia kwenye mitandao ya kijamii, fb na inst......nakubaliana na unachosema.
Kama ataridhia niziweke hapa hadaharani

Mm tangu Jana nilipoona hii thread nilijua tu huyu atakuwa danga
 
Back
Top Bottom