Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Numupanga gyule,Gyule yani gua yansooo
Umupanga ne?
Dada sheria msumeno lazim ikate kote kote na Hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe lingine asilani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasisi wadada tukitaka kukuona,,nasisi tunalipa nauli??
Hahahahhahaha bila wigi si ndo utatoka ndukiii kama usain bolt
Ha ha ha ntakua ke ninapotak kuja kukuona ila nikifika tu nakuwa dume LA nyani, sijui utanikimbia Mchana kweupeNyie hamlipi ni wanaume tu
Haya. Nitafutie mwenyeji basi
Unajiuza?
PM yake itakuwa imejaa kwa sasa....
Wewe acha tu yani siku yeyote akiomba kiporo naenda bila hata kumuomba nauli
Si nyie wa singida mnapandaga malori tank ya mafta lazima umejiongeza hapo dar itakuona Lori likishusha mzigo bujumburaMm msingidaaa
Maharagwe ya mbeya maji nusu.Oooh sawa
Jaman enzi zile watoto wa Hombolo LGTI ndo walifaidi lakini tangu msimu huu uingiee hamna mambo si mlaumu huyo kaka..kwenda mjini ilikua ni kama unaenda chooni kupanda shabiby na super baraka ni kama kuvaa kandambili.Zimefika salamuu
Hujui tu, huyu ni kubwa la madanga anajiuza mbona kwa waliobahatika kulala nae wanasema wa kawaida sana tofouti na vile anavyojikweza humu ndani...Kuna picha naijenga kuhusu huyu mleta maada inaweza kuwa inaakisi jinsi alivyo kwa asilimia kubwa
1. Yawezekana anajiuza
2. Anaishi kwa kudanga
Haiwezekani mtu utoke hombolo umfate mtu mjini kwa gharama hiyo halafu utegemee urudishiwe, Ina maana moja kwa moja ulitegemea zaidi ya hiyo kwake.
Na kingine mwanamke mwenye staha asingeleta upuuzi huo hapa lazma angeona haya, sisi wanaume tunajuana na nadhani huyo jamaa hakuwa na nia ya kukugegeda kwa vyovyote vile maana unaonekana wewe ni mweupe na mrahisi Sana.
Kuna jamaa mmoja alinifuata pm Jana baada ya kuandika reply yangu kwenye huu Uzi kuhusu dada uliyoquote anasema walionana na huyu dada alipoenda dodoma mapumziko, ilikuwa wagegedane baada ya kufika anasema demu alikuwa kawaida sana mnene kiasi, shepu haiweleki na mweupe kiasi na hakumvutia kabisa,ikabidi aagize savvanah then akamuaga anaondoka kuendelea na ratiba..anasema hakumvutia kabisa, akanitumia picha zake na namba zake za simu anazotumia na akanipa majina yake anayotumia kwenye mitandao ya kijamii, fb na inst......nakubaliana na unachosema.Hujui tu, huyu ni kubwa la madanga anajiuza mbona kwa waliobahatika kulala nae wanasema wa kawaida sana tofouti na vile anavyojikweza humu ndani...