Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Kwa maelezo yake bado tu hujaelewa kuonana naye maana yake nini? Sasa wewe unataka kuonana nae ili iweje? Au wewe ni wale wa 'rangi za upinde wa mvua'?
Kwamba anapenda marafiki wa kiume tu😱😱
 
Na bado mtaanikwa tuu.
Na tutamtaja au tutakutaja.
Tupishe na mkwara wako wa kijinga. Ubuyu tutaula na tutawaanika.
Au nikupe namba yake ya simu ni 0763...5586, hahaha aaache ujinga tutamuanika hizo namba mbili nazihide, file lake tunalo
 
Haipo hivyo. Kwani mbona Kuna uzi kibao zinaponda madada wa jf? Tunasoma zinatuboa siku zinasonga. Tungekuwa tunachukulia serious kihivyo watu wasingekuwa na marafiki humu jf. Umechukulia personal sana as if kakusema wewe.
Basi dada umekuja kistaarabu Sana ngoja tumuache maana tungemwaga mafile yake hapa maana ni mpuuzi puuzi tu
 
Mjinga Sana anataka kufanya wanaume tuonekane hatufai humu, Sasa Kuna watu tunajikoki tutaleta uchafu wake na mapicha yake mpaka sehemu anapofanyia kazi.

Na kazi yake itakuwa hatiani aache ujinga, haiwezekani atuchafue kwa ujinga wake..wakati yeye anajiuza...
Anataka muonekane wanaume hamfai humu kwa lipi?

Ukileta huo ujinga wake ndio mtaonekana mnafaa? Na huko kufaa kwenu unakokuhubiri na kupondea wanawake ni kupi haswa?

Wewe una lako jambo na demiss its like ulikuwa unamtafutia angle tu.
 
Namba kitu gani? Yaani tatizo lenu mnaona wadada wa huku ni wakina rihana. Sasa kuwa na namba yake ajabu ni nini?
Hivi unaweza jishughulisha na mtu usiyemwelewa hadi kupata namba yake, na picha?
Acheni kujiuza na kuja kuchafua watu huku, pambafu zenu midemu yenyewe mibaya ila mnavojidai huku ni zaidi ya Rihanna, mjinga Sana yule tena mwambie aache upuuzi atajuta tutaleta video humu na tutazirusha kwa ma co- worker zake atakimbia mji mwenyewe....

Mpuuzi mpuuzi tu,
 
Hapana mkuu, hiyo thread yake anamaanisha amefanya wengine tumekula block kwa wetu wa maana humu kwa upuuzi wake....angalia comment zake utajua anamaanisha huu upuuzi wake
Teh teh teh teeeeh!!
Kuna vitu vinachekesha, yaani mtu wa maana akuopige block kisa demiss kaleta thread yake hapa?
Kwani kakutaja mahali hadi hao watu wako wa maana wakupige block? Mbona kama umepanik sana, hebu utueleze tu lililo nyuma ya pazia nasio kumchafua binti wa watu hivyo.
 
Ishu sio kumtaja tatzo namuonea huruma Sana mleta maada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haipo hivyo. Kwani mbona Kuna uzi kibao zinaponda madada wa jf? Tunasoma zinatuboa siku zinasonga. Tungekuwa tunachukulia serious kihivyo watu wasingekuwa na marafiki humu jf. Umechukulia personal sana as if kakusema wewe.
Hili litakuwa jiwe gizani sio bure.
 
Back
Top Bottom