Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Wanaume wa JF muwe mnatuma nauli mkitaka kuonana na warembo mwenzenu kanitia hasara!

Kuwa na ID sio lazma uchangie kila upuuzi na mm Sina shida na watu mnaojiuza Kama nyie na mimi siko nje, Niko kijijini huko nalima mpunga ....humu tunakuja kujifunza na sio kuleta mada za kujiuza
Mhusika ni wewe. Wewe ndiyo mhusika.
Ukweli unaishi kijijini ndiyo maana elfu 20 kwako ikawa tabu.
Jikubali acha kuzuga unaishi nje. Halafu subiri hivi umeshaona kuna mwanaume mwenye mapovu kwenye huu Uzi zaidi yako?
Haukwepi kuwa wewe ndiyo mhusika.
 
Yaani elfu 50000 tu ndio inakufanya upige kelele mtaa mzima. Waswahili bna.
 
Utamwaminisha nani kwamba wewe siyo muhusika na wakati tangu umefungua hii ID ina post 24 na zote ni kwenye huu uzi?
Mzee baba Wit.... Aliyetaka kununua anayejiuza na yeye ni Malaya tuu.
Hauchomoki .
Wit ni nani? We taja ila usije kumchafua mtu kisa kakutongoza na wewe....mm Leo sina kazi ya kufanya nipo na madanga Kama wewe
 
Kuwa na ID sio lazma uchangie kila upuuzi na mm Sina shida na watu mnaojiuza Kama nyie na mimi siko nje, Niko kijijini huko nalima mpunga ....humu tunakuja kujifunza na sio kuleta mada za kujiuza
Wanunuaji wanazifurahia mada Kama hizi, Ni vyema ungestick kwenye mada za kujifunza, hizi za kujiuza uwe unazipita am sure hutapata taabu
 
Mhusika ni wewe. Wewe ndiyo mhusika.
Ukweli unaishi kijijini ndiyo maana elfu 20 kwako ikawa tabu.
Jikubali acha kuzuga unaishi nje. Halafu subiri hivi umeshaona kuna mwanaume mwenye mapovu kwenye huu Uzi zaidi yako?
Haukwepi kuwa wewe ndiyo mhusika.
Lazma tuwarekebishe sio mnakuja kuleta ujinga humu
 
Wit ni nani? We taja ila usije kumchafua mtu kisa kakutongoza na wewe....mm Leo sina kazi ya kufanya nipo na madanga Kama wewe
Bora umejidhihirisha kwamba ni wewe.
Na kama siyo wewe umejuaje kwamba kanitongoza na mimi. Au kuna sehemu nimesema kanitongoza?
Ni wewe ndiyo maana unajua kwamba umenitongoza.
Leo umedakwa red handed.
 
na Mimi siwezi kutoa tsh 20000 kwa demu wa humu
Mhusika ni wewe. Wewe ndiyo mhusika.
Ukweli unaishi kijijini ndiyo maana elfu 20 kwako ikawa tabu.
Jikubali acha kuzuga unaishi nje. Halafu subiri hivi umeshaona kuna mwanaume mwenye mapovu kwenye huu Uzi zaidi yako?
Haukwepi kuwa wewe ndiyo mhusika.
 
Bora umejidhihirisha kwamba ni wewe.
Na kama siyo wewe umejuaje kwamba kanitongoza na mimi. Au kuna sehemu nimesema kanitongoza?
Ni wewe ndiyo maana unajua kwamba umenitongoza.
Leo umedakwa red handed.
Hebu weka uthibitisho hata screenshot shot kwamba ulitongozwa na mm....acheni kuambukiza watu ukimwi.

Wapuuzi puuzi tu matangazo yenu
 
Hebu weka uthibitisho hata screenshot shot kwamba ulitongozwa na mm....acheni kuambukiza watu ukimwi.

Wapuuzi puuzi tu matangazo yenu
[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mzee baba leo hauchomoki. Haukwepi kwamba ndiyo wewe. Unataka ushahidi kwamba umenitongoza kwa id ipi?
 
Mbna unacheka, huyu dada yukoje Kwanza nipeni hint zake kidogo
Acha kutuzuga wewe.
Unatuuliza sisi yupojee? Acha unafikiii mtumiee kapesa chake.
IMG_20190423_144859_810.jpg
 
Back
Top Bottom