NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,801
- 643
Dr. NN,
umeshasikia Pink pill inayoitwa Flibanserin?
if not please read the information here:
The Tyee – The Sex Pill for Women
Flibanserin - Wikipedia, the free encyclopedia
Ningependa kuwaambia mti gani hapa Tanzania hawa wajerumani waliufanyia Research (asante bibi kwa kunionyesha) lakini sidhani kama wanawake wa Tanzania watahitaji kuwa na hamu zaidi maana wanaume wetu uwezo wao wa kufanya ngono ni so limited na style zao ni tatu tu.
Nimeshtuka hapa nikaona niianzishie thread maanake hizi tuhuma ni nzito sana kwa Wanaume wa TZ popote walipo. Sijui Caren hii research kafanya na wangapi........