Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Here we go again hivi kumbe kujua style ndio kujua mapenzi?[/QUOTE]
hili nalo neno....asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Here we go again hivi kumbe kujua style ndio kujua mapenzi?[/QUOTE]
hili nalo neno....asante
Asante kunipongeza, basi kama ni hivyo unakubaliana nami, huu utafiti una mashaka, na hatuwezi kuzitumia taarifa hizi kutoa hitimisho.
Vipi mbona hujibu swali la msingi.....je ni lazima style aje nazo mwanamume tu?? mei nshkuambia ni mimi na mke wangu then wote tunaziobresha ili ku-fit our needs. ila HUWA HATUULIZANI TUMEZITOA WAPI
Hivi mweh inamaanisha nini...?? Unamuunga mkono Caren??mweh !
Here we go again hivi kumbe kujua style ndio kujua mapenzi?
Hivi mapenzi hapa tuna maanisha kufanya ngono? kwa sababu ninavyojua mimi, hakuna kitu kinachoitwa kufanya mapenzi.......coz mapenzi hayaanzi kwenye styles ...kama nyie wenyewe mnavyosema.....inahitaji matayarisho.Nguli,
You are a typical men. Yes kujua styles ndio kujua mapenzi. mapenzi sio kukojoa sana na kwenda kujisifu kwa washkaji eti ohooo nimekojoa bao sita.
Mapenzi sio kutumia nguvu na kwenda kujidai ohhooo yule dada nimeshughulikia aisee hatanisahau.
Mapenzi is about quality na quality is always determined by variety of tastes.
]Hivi mapenzi hapa tuna maanisha kufanya ngono?[/B] kwa sababu ninavyojua mimi, hakuna kitu kinachoitwa kufanya mapenzi.......coz mapenzi hayaanzi kwenye styles ...kama nyie wenyewe mnavyosema.....inahitaji matayarisho.
Sasa tunaweza kuongea quality of ngono........na hapa tukiongelea QUALITY lazima kuwe na dimensions of Quality.
1) Style
2) handling
3) ability to sustain (timeliness)
4)
5)
Sasa wewe unachukuaje dimension moja ya Quality sex na kufanya conclusion???!!!
Caren,
Achana na mada hii maana eneo hili ni nyeti sana kwa akina kaka.Utararuliwa bure.
Wao ni haki kuchambua ugoigoi wa wanawake lakini not the other way round. Pamoja na liberal thinking kwenye maswala haya...performance ya wanaume ni taboo subject just leave it at that for your own peace, safety and comfort lol.
Huyu haya hayajui! Utafiti wake hauna maana.mie ndio kabisaaa i doubt kama ziko tatu:becky:
mie nadhani ziko mbili,
hio ya woman on top,
wanawake wengi wa kiafrica /tanzania ni overweight,
sidhani kama wako comfortable 'kupanda'...
au ni mie tu:becky::becky::becky:
ila kweli caren,umeshift blame kwa wanaume tu...
nadhani maswala ya mikao na maujuzi ni rensponsbility yetu wote,
wanaume na wanawake....:confused2::A S 8:
Caren,
Achana na mada hii maana eneo hili ni nyeti sana kwa akina kaka.Utararuliwa bure.
Wao ni haki kuchambua ugoigoi wa wanawake lakini not the other way round. Pamoja na liberal thinking kwenye maswala haya...performance ya wanaume ni taboo subject just leave it at that for your own peace, safety and comfort lol.
Hivi mapenzi hapa tuna maanisha kufanya ngono? kwa sababu ninavyojua mimi, hakuna kitu kinachoitwa kufanya mapenzi.......coz mapenzi hayaanzi kwenye styles ...kama nyie wenyewe mnavyosema.....inahitaji matayarisho.
Sasa tunaweza kuongea quality of ngono........na hapa tukiongelea QUALITY lazima kuwe na dimensions of Quality.
1) Style
2) handling
3) ability to sustain (timeliness)
4)
5)
Sasa wewe unachukuaje dimension moja ya Quality sex na kufanya conclusion???!!!
Mimi Mke wangu namuandaa kabla ya hilo tendo la mwisho la kujamiiana na tunaweza kujamiiana popote, kwenye kitanda, kochi, sakafuni, juu ya meza, wima.
Je utasemaje style tatu?
Shame on You!!
Badirika, hauko sahihi katika hili!!!
That is the problem hizo ulizotaja siyo style. hizo ni location ingawa i must say i am impresed kama kweli huwa unafanya sehemu zote hizo. (Najua kama wanaume wenzio kama hawatahisi kuwa unajisifia basi watakuwa wanakuonea wivu. Majority ya wanaume ni watu wa kitanda. Akizidisha sana ni kwenye kochi tena hii ni enzi zile za ujana.
Kuhusu styles unaweza kwa kweli ukafanya kooote huko ulikokutaja lakini bado ukawa unatumia style moja tu ya kifo cha mende.
I am missing something! Whats ur point kwenye hili tundiko?