[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Babu Asprin hela yake anavyoichungulia unasema anachunika? Babu pesa yake imeshikana na roho
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuma namba
Ndioheeee naona umejipigia pande mapemaaaaa hahahahah
IPI ile ? [emoji3][emoji847] mbona wengine hstuijuiJamani nitumieni na mimi kwenye no ile [emoji847]
Ebu tuma bwana mbona wengine mnawatumia tu kirahisi rahisi
Ukisema ‘suuuuuuuuu’, naweza kukutumia Corona [emoji6].
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]Hakuna wanaume watoaji mapesa na wapenda sifa kama wanazo kama wa humu JF. Ukilia kidogo tu mapesa ntawataja kwa majina hapa tukianza na babu yetu mzee mwenye utoaji wa hali ya juu Asprin na mzee mshana jr
Ukilia tu imethibitishwa ila tahadhari ndoa za watu humu wengine wanandoa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji109][emoji109][emoji109][emoji123][emoji123][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Dogo mbona huna adabu?! Kwanini umefanya kitu cha kishamba kama hiki!! Hata kama ni watoaji we inakuuma au ni nini kimekuwasha?!
Hela za kwako unataka uwapangie matumizi?!! Unless kama ID zote ziwe za mtu mmoja kaja hapa kujipigia pande.
Huyo demu uliyemtaja ni cha woteila kwa mzee mwenzangu Mshana Jr naweza kuunga mkono hoja maana jamaa anapenda mizigo kama sheikh kipoozeo asieamini amuulize @demiss
Huyo demu uliyemtaja ni cha wote