Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mbona povu!Dogo mbona huna adabu?! Kwanini umefanya kitu cha kishamba kama hiki!! Hata kama ni watoaji we inakuuma au ni nini kimekuwasha?!
Hela za kwako unataka uwapangie matumizi?!! Unless kama ID zote ziwe za mtu mmoja kaja hapa kujipigia pande.
πNyuzi ya pili naona umetaja watu wawili tu?
We sio naniliu kweli. π€
Umesoma kipovu povu mwenyewe.Mbona povu!
Kama mlishindwana anzieni kwangu basi [emoji847]
Dada akee ebu ninongoneze nani huyuNyuzi ya pili naona umetaja watu wawili tu?
We sio naniliu kweli. [emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Naogopa mie tuanzishiwe thread yetu tutaificha wapi i'd zetu FursakibaoTufanye ile deal yetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Naogopa mie tuanzishiwe thread yetu tutaificha wapi i'd zetu Fursakibao
Nimemsahau eti dadaake. ππDada akee ebu ninongoneze nani huyu
Eti kamsahau ila kama namuhisi mtu
Hahhaha ila umenifungua masikio kama nimemmanya niko poa dada akee sijui wewe dearNimemsahau eti dadaake. [emoji85][emoji85]
Mzima lakini?
Hahahaaa. Ndo huyo huyo. πππHahhaha ila umenifungua masikio kama nimemmanya niko poa dada akee sijui wewe dear
Asantd dada ako na kwako piaHahahaaa. Ndo huyo huyo. [emoji126][emoji126][emoji126]
Mie Alhamdulillah niko salama. Haya dada siku njema.
promoHakuna wanaume watoaji mapesa na wapenda sifa kama wanazo kama wa humu JF. Ukilia kidogo tu mapesa ntawataja kwa majina hapa tukianza na babu yetu mzee mwenye utoaji wa hali ya juu Asprin na mzee mshana jr
Ukilia tu imethibitishwa ila tahadhari ndoa za watu humu wengine wanandoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia ile ID yako nyingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Naogopa mie tuanzishiwe thread yetu tutaificha wapi i'd zetu Fursakibao
Umenisoma ee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Sasa ndo nimeelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole zakeMfatilie thread zake tu yeye kuwasema wanaume wa jf tu