Wanaume wa JF, single mothers waliwafanyia nini?

yes, uzoefu ninao nilikomeshwaga,ila mwanangu ndio kila kitu kwangu
si last seen ilikuwa saa nane na asubui hii tayari uko jf au uko Afghanistan
Nna tatizo 1 kubwa mara nyingi sana mie huiacha cm online ..... nakuwa offline mara chache sana .... naweza kuwa nmelala na mtu akadhan nachat ......

By the way pole kwa KUKOMESHWA
 
Nna tatizo 1 kubwa mara nyingi sana mie huiacha cm online ..... nakuwa offline mara chache sana .... naweza kuwa nmelala na mtu akadhan nachat ......

By the way pole kwa KUKOMESHWA

hahahahahahahahahaha poa poa
Nashukuru
 
yes, uzoefu ninao nilikomeshwaga,ila mwanangu ndio kila kitu kwangu
si last seen ilikuwa saa nane na asubui hii tayari uko jf au uko Afghanistan
Ulikomeshwaga vipi dear,tupe ka ubuyu kidogoo..
 

Sasa ndo umefanya nini? Mnatukana single moms wakat ninyi wenyewe ndo chanzo cha kutengeneza single moms. Utalipwa kwa kadri ya ubaya wa moyo wako. Only time will tell
 
Single mothers ni sawa na second hand goods.
Nlimdate single mother alinikuwa na kiburi cha ajab sana.
Misonyo na vijembe kutokana na issues za mtoto uzizoee bcz kuna mitoto mingine ni jeur afu ukiizingua nawe unazinguliwa.
Usioe single mother there is nothing there.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…