Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Mungu anakuona ujue..[emoji25] [emoji25][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu anakuona ujue..[emoji25] [emoji25][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nyie huwa mnaongeaga tu nishawa date singo mazaz na bado wanamegwa na jamaa waliowazalisha .Sio wote wanaofanya ujinga huo
Na wewe pia anakuona kutelekeza mtoto!Mungu anakuona ujue..[emoji25] [emoji25]
Kweli jf ni kichaka, na hapa ndipo jf inachanganya.hivi hawa single mothers walijishikisha mimba wenyewe enhee? itabd na nyie muanzishe kampeni yenu ya single fathers...
Geni kwani we singo maza[emoji15][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupasha hata kwa msichana yoyote asiyejithamini anaweza Fanya hvyoo
Mwanaume mwingine katelekeza watoto hata kumsikia tu mwanamke hutaki then kirahis rahis tu upashe kiporo!!
Sio kweli
maana yangu ni hii mkuu hawa single mothers hawajajipa mimba wenyewe so tusiwalaumu sana na kingine wadada wa jf waanzishe kampeni kuhusu single fathers kama wanaume wa jf walivyo against na singel mother umensoma UshimenKweli jf ni kichaka, na hapa ndipo jf inachanganya.
Maana ulicho kiandika ni tofauti na I'd yako aiseeee.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Geni kwani we singo maza[emoji15]
Katika wababa ambao hawaja wahi kuponda single mama's, na mimi ni mmoja wao.Na wewe pia anakuona kutelekeza mtoto!
Halafu hapa unaponda ponda!!
Vp Illuminata. Na wewe una mimba ya miezi mingapi sasa hivi? Yule bwana aliyekupa mimba keshakuacha?Hellow JF,
Naomba kuwauliza wanaume mliopo humu JF, hivi single mothers waliwafanyia nini mlio wengi, mbona mnawaandama sana kila kukicha?
Naombeni mnijibu sababu thread zenu zinaumiza sana pia zinachosha as long as sio wote walipenda kuwa single mothers wengine iliwabidi tu, au mlitaka wafanye abortion kuepuka kuwa single mothers?
Kwan ajabu kusema ya moyoni mpaka unaita kulalamika!?single mother akilalamika.....
Hapo sawa mkuu.maana yangu ni hii mkuu hawa single mothers hawajajipa mimba wenyewe so tusiwalaumu sana na kingine wadada wa jf waanzishe kampeni kuhusu single fathers kama wanaume wa jf walivyo against na singel mother umensoma Ushimen
[emoji109] [emoji109] [emoji109] kula gwala!Katika wababa ambao hawaja wahi kuponda single mama's, na mimi ni mmoja wao.
Bahati njema sana nilijaaliwa kuwachukua wanangu, wanaishi kwa raha mustarehe, hawajawahi kujuta na tuakula pata pamoja.
Ohhh My God..!!INCUBATOR
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]