Wanaume wa Jf : Toa dukuduku lako kwa wadada wa jf Wajirekebishe!

Wanaume wa Jf : Toa dukuduku lako kwa wadada wa jf Wajirekebishe!

Mimi nawasaidia kwa kuanzia

"Wadada wa jf fungueni pm zenu hizo mnapishana na magari ya mishahara"


Karibuni wanaume mtoe madukuduku yenu wadada watapita hapa kusoma ili wajirekebishe.

Location: Star baber shop Dodoma.

Mnakaza sana huko PM[emoji51][emoji51][emoji51] legezeni kidogo[emoji12]
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Roho mbaya hio.
 
Back
Top Bottom