Wanaume wa Jf tukutane hapa.

Ningekuwa na uwezo hii comment yako ningeifuta hadi kwenye server za jf.....

Mtu anatafuta hela week nzima halafu hela anaenda kuitumia siku moja tu na demu
[emoji3] [emoji3]
 
Maujanja sasa mkuu yalete
samahani mazee..nlishndwa kushare material nliyonayo humu....liko kTIKA format ya pdf....whatsaap 0766485139 buree...nakutmia ata dk mbili haziishi..those killer techniques is ABOUT MIND CONTROLLING PROGRAMS
 
samahani mazee..nlishndwa kushare material nliyonayo humu....liko kTIKA format ya pdf....whatsaap 0766485139 buree...nakutmia ata dk mbili haziishi..those killer techniques is ABOUT MIND CONTROLLING PROGRAMS
Poa boss
 
Wakuu kati ya kilimo cha matikiti na matango kipi kinalipa??
 
Wakuu kati ya kilimo cha matikiti na matango kipi kinalipa??
Vyote vinalipa kimtindo ila inategemea na msimu ulolimia na soko litakavyokutana na mazao husika ukitaka tikiti upige hela lima kipindi litatoka kiangazi hapo utaona kazi inavyokulipa, ila likitoka na mvua hapo ni presha tupu ukirudisha hela shukuru mungu
 
Shukran mkuu ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…