Wanaume wa Jf walivyo!...

Wanaume wa Jf walivyo!...

Naomba nijitoe muhanga naweka picha yangu halisi kama kiwakilishi cha sisi wanaume wa JF tulivyo katika uhalisia wetu.. Wanaounga mkono walike. . likes zikifika 10 tu saa moja kamili nitaweka picha na nitaiondoa saa moja na dakika 3
Hebu weka nione
 
Mie siwezi kujisifia mwonekano aisee,mwanaume kujisifia muonekano ni dalili ya eidha kutokujiamini ama ubwabwa.unatakiwa usifiwe na kinadada sio kujipa promo mwenyewe.
 
Kwa style hii sitaki kukutana na jinsia ke yeyote wa humu JF, hapana aiseee [emoji23][emoji28][emoji125][emoji125]

ukikutana na mtu nje ya JF,unakua huna Amani,sijui leo ataniandika,kila siku ikipita huna Amani,sijui leo ,sijui kesho unakaa una count days kuangalia kila siku kama umeandikwa hahahaahahaaaaaaaaaaaaaaaaa ya nini yote hayo....😀😀😀
 
ukikutana na mtu nje ya JF,unakua huna Amani,sijui leo ataniandika,kila siku ikipita huna Amani,sijui leo ,sijui kesho unakaa una count days kuangalia kila siku kama umeandikwa hahahaahahaaaaaaaaaaaaaaaaa ya nini yote hayo....😀😀😀
Na naona hakuna mwenye kuvumilia kubaki kimya, niliona uzi moja jamaa eti alijizuia wee akashindwa ikabidi aandike tu uzi hahaha

Sisi wengine na hizi sura zetu plus ufupi na weusi huu si tutatengwa kabisa humu jamani [emoji17][emoji17][emoji17]

Sitaki mimi
 
ukikutana na mtu nje ya JF,unakua huna Amani,sijui leo ataniandika,kila siku ikipita huna Amani,sijui leo ,sijui kesho unakaa una count days kuangalia kila siku kama umeandikwa hahahaahahaaaaaaaaaaaaaaaaa ya nini yote hayo....😀😀😀
Hofu yanini sasa
 
Back
Top Bottom