Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

[emoji23] [emoji23] [emoji23] hili neno shunie huyo na mzigua ndo wao niliwasikia![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Demiss mbaya wewe Unanisahaulia MTU wetu.Mpaka watu Wanapigana Kwa jili yake??
Sasa huko Si Ndo kupendwa jamani au sijajua maana ya kupendwa Mimi??
Cc
Ngoswe.120

Kuna mtu kaja humu sijui kama hatuli ban[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549]
 
Awww!! It gives great joy kuona unatambua matumizi ya kichwa changu...Mimi sikubali kichwa changu kitumike kwa matumizi ya kuvalia helmet...Najaribu kwa wastani kufikiri..

Nimefurahi kusikia unakuwa orgasmed na Maandishi yangu humu JF..nimefurahi.

Pia huwa Nakukubali sana mzigua maana ni miongoni mwa watu ambao sijawahi kukuona umekula ban kijinga JF...unamuheshimu kila mmoja na kumvumilia regardedless what. Kuna ishu moja mtu aliku provoke ingekuwa Mimi ningekula ban but wewe ulihandle in a very claasy and not trashy way.

You are priceless and humble.
Thank you kaka angu. Najitahidi sana kuwakwepa wajinga wa humu. Nashukuru pia ni kati ya member ambao sijawahi kula na naikwepa mnoo hata nikitukanwa
 
Nawapenda The Boss,mito,Mshana,Mr Miller(huyu nahisigi ni The Boss karudi kivingine),Humble African,Daby,Mwifwa,Don Clerucizio,Gudume, wanauanaume fulani hivi nauadmire,huwezi kukuta wanajisifia upuuzi au kuwa na mabif ya kijinga,wapo kwenye kilig chao tofauti.Sijawahi kuwaona na ningependa milele ibaki hivyo miandiko yako inasadiki kwangu.
Raynavero naomba nitagie hao watu
Natafuta maneno sahihi ya kukunadi nayakosa...!

Ila jamani angel exists its just so they don't have wings and we call them friend..@amu ni friend wa Kariba ya angel wa Duniani...! She is the one you can depend on.

Candlelight dinner with you best. Remember![emoji176]

Xoxo!
 
Last edited:
Mwanaume wangu akili kubwa hajatajwa nashukuru sana,maana ningepata kapresha,bae najua unasoma hapa tulia hivyo hivyo
@amu aaaaarg aje bana nataka niwape usimamizi wa ndoa yangu[emoji23]
 
Back
Top Bottom