Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

[emoji23] [emoji23] [emoji23] hili neno shunie huyo na mzigua ndo wao niliwasikia![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Demiss mbaya wewe Unanisahaulia MTU wetu.Mpaka watu Wanapigana Kwa jili yake??
Sasa huko Si Ndo kupendwa jamani au sijajua maana ya kupendwa Mimi??
Cc
Ngoswe.120

Kuna mtu kaja humu sijui kama hatuli ban[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549]
 
Thank you kaka angu. Najitahidi sana kuwakwepa wajinga wa humu. Nashukuru pia ni kati ya member ambao sijawahi kula na naikwepa mnoo hata nikitukanwa
 
Natafuta maneno sahihi ya kukunadi nayakosa...!

Ila jamani angel exists its just so they don't have wings and we call them friend..@amu ni friend wa Kariba ya angel wa Duniani...! She is the one you can depend on.

Candlelight dinner with you best. Remember![emoji176]

Xoxo!
 
Last edited:
Mwanaume wangu akili kubwa hajatajwa nashukuru sana,maana ningepata kapresha,bae najua unasoma hapa tulia hivyo hivyo
@amu aaaaarg aje bana nataka niwape usimamizi wa ndoa yangu[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…