Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

Humble yaan hilo neno limekuja kwa kasi mno ,linamaanisha watu wapuuzi puuzi tu hawana maana ,nadhani nimepatia nimefupishaa [emoji23]

Ngoja nikuje pm[emoji23]
Siku hizi umekuwa Honi sigara wa clouds FM au Mwanagenzi viile..![emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mnaleta maneno mapya mjini..."pugi" haya bhana nitalitumia huku mtaani kwa wakati wangu. Thanks.
 
Last edited:
Jealousy in the air tonight, I could tell
I will never understand that, but oh well
Been ready, it's real, I don't know 'bout you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…