1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
mkuu we spy bila shaka [emoji23]Sijui hadi kesho utakuwa ewani, naona kuna kila dalili ukapumzishwa kwa lazima
Siku hizi umekuwa Honi sigara wa clouds FM au Mwanagenzi viile..![emoji23] [emoji23] [emoji23]Humble yaan hilo neno limekuja kwa kasi mno ,linamaanisha watu wapuuzi puuzi tu hawana maana ,nadhani nimepatia nimefupishaa [emoji23]
Ngoja nikuje pm[emoji23]
Kama alivyosema hapo mdada, mtu asiye tulia akili zake zipo juju kama kiuno cha nyigu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lina maana gani
[emoji23] wasiwasi ndo akiliHamna bwana yale yashapita..kaja tu kama mchangiaji
mkuu we spy bila shaka [emoji23]
Wewe umbea umeanza lini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Napita kwa kunyataaaa. [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Shikamoo mapenzi
Kweli! [emoji23] [emoji23] [emoji85]
Hapana jua wewe nakuheshimu huna shida kaka[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Maana yake nini?[emoji23] [emoji23]Hilo neno lipo pia kwetu lipo ( mpugi) kwetu linaitwa hivyo
Nipo hapaNakutafuta
Acha tu mim mwenyewe nimelikuta humu hadi unakuta wengine wanajitaja wenyewe ndio pugi **** vituko humuSiku hizi umekuwa Honi sigara best wa clouds FM au Mwanagenzi viile..![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mnaleta maneno mapya mjini..."pugi" haya bhana nitalitumia huku mtaani kwa wakati wangu. Thanks.
Rudi hapo juu kidogo nimejibu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Maana yake nini?[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee[emoji23] wasiwasi ndo akili
Kafika shunie kaachiwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna nini tenaaaa!!!
Kumbe Na wewe umenitengaa eeeh????Hahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23] nanii
Uungwana ni vitendo...stay humble...stay charming.Thank you kaka angu. Najitahidi sana kuwakwepa wajinga wa humu. Nashukuru pia ni kati ya member ambao sijawahi kula na naikwepa mnoo hata nikitukanwa
Huku ni chit chat...mods shouldn't take everything in a serious note!!!Sijui hadi kesho utakuwa ewani, naona kuna kila dalili ukapumzishwa kwa lazima
Likianza nishtue[emoji106] [emoji120] ,nafurahia Sana JF ya sasa,tuko pamoja,mnachangamsha sana ,acha nile gambe huku nikisubiri hili tukio la mwezi ,muda huu
Pugiii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wewe unavyolitaja linazidi kuchekesha zaidi