Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

Wanaume wa JF wanaopendwa zaidi na warembo

hahah... the Chimney Ngabu huo msemo hapo mwisho umenifurasisha GET THE STRAP... Mzee mzima Curtis Jackson alipouanzisha alipewa kesi ya uchochezi na mayor wa mji fulan lakn judges wakasema haina mashiko


get the strap

That’s right ma ninja.

Eti huyu Demiss anataka tucheze mchezo wa mieleka.

I mean....you tell me....huyu si anataka kuliwa tu huyu?

Tutachezaje mieleka bila kuangushana angushana?
 
Hahahha niljua tu utakuja kwa mwendo kasiii nilimiss sana chochez zako
hahaaaa nifanyaje sasa" wakati '"ndio "nimeshawaelewa aisee"" hata ukinikwaza " Mimi natakiwa kuwa mpole", maana hata vyombo makabatini huwa Vina gongan a
 
Back
Top Bottom