Huwezi amini hata mada sijasoma[emoji85] [emoji85]
Itabidi kwakweli mana huyu Kiranga na nduguye Nyani Ngabu wananizingua sasaMtafute ras simba ndani ya mwezi unaweza kumuhoji hata Clinton [emoji1]
Itabidi kwakweli mana huyu Kiranga na nduguye Nyani Ngabu wananizingua sasa
Wa motoje sasa wifi? Mungu anawaona na hii misamiati yenuWifi nani wa moto, mbona hujasema?
Kujumuika...Kujichanganya kivipi?
Oooh kujumuika kwenye mijadala, siku hizi wanasoma tu na kufuta.Kujumuika...
Sijui wamekula maharagwe ya wapiOooh kujumuika kwenye mijadala, siku hizi wanasoma tu na kufuta.
klorokwini popote ulipo, nimekumiss sana!!!!π
Enzi hizo kabla haujawa Dr ulikuwaga hot sana aisee, ukorofi wa mada, mada tata, na ukorofi wa hapa na pale. Hivi Husinho yuko wapi?klorokwini popote ulipo, nimekumiss sana!!!!π
Vincenzo Jr acha basi kuchimbua makaburi....π₯΄ Unanipa nostalgia-fever! π₯Ίπ₯Ί
Niliambiwa nimekua sasa, niache ukorofi! π΅π΅Enzi hizo kabla haujawa Dr ulikuwaga hot sana aisee, ukorofi wa mada, mada tata, na ukorofi wa hapa na pale. Hivi Husinho yuko wapi?
Hakika πNiliambiwa nimekua sasa, niache ukorofi! π΅π΅
I wish I knew...
Unaweza kuta tunagongana nae kwa ID nyingine ila hatujui.π₯΄
Avatar yako watu wasiojielewa watakuanzishia Uzi π€£π€£π€£
πππ Kumbe hata da mau baadae naye atatulia ni suala la mudaHebu muache Dr Lizzy wangu π